Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,918
- 13,391
Tukae kwa wana mahesabu wa hapa kwetu tusitegemee wingi wa mahesabu kutoka kwa wakuu wa mataifa tajiri ndani ya vikao vyao watuamulie kama sifuri inatosha kuitwa namba kamili ilihali ikisimama yenyewe haina chochote inacho wakilisha.
Wanahisabati wa ndani kwanini bado inahesabika kama namba kamili badala ya namba 7 iliyozoelewa na inayosadiwa hata kiimani kama imani zingine hampatani nazo je hadi yenu ile ya magharibi?
"Sifuri siyo namba kama ikisimama yenyewe" huu ni utaalamu niliowahi kukubaliana nao mfano 04 tunasema inawakilisha idadi ya vitu 4 tofauti na 70 inayowakilisha idadi ya vitu 70. Hata kwenye akidi ya vikao nyeti na wazi bado sifuri haiwezi kutumika kuwakilisha mjumbe asiyefika bali utasikia tu akidi haijatimia kwa ukosefu wa wajumbe labda 06 kati ya wajumbe 10, waliotengeneza akidi ya wajumbe 04 asilimia pungufu ya 50% ni 49-% je ni halali kuendelea na kikao?
Sijasahau mahesabu ya mwalimu wangu pale shule ya msingi aliyeniambia na kunielewesha kwa maneno mawili "Mpe" na "Mtoe" aliyenifundisha kuwa namba ni utambulisho wa idadi ya vitu kama ndivyo je sifuri ni utambulisho wa vitu gani na vingapi ikisimama yenyewe?, jibu li wazi si utambulisho wa idada ya vitu vyovyote bali hewa. Ndiyo ni hewa na hewa ndio chanzo cha uhai wowote.
Wanahisabati wa ndani kwanini bado inahesabika kama namba kamili badala ya namba 7 iliyozoelewa na inayosadiwa hata kiimani kama imani zingine hampatani nazo je hadi yenu ile ya magharibi?
"Sifuri siyo namba kama ikisimama yenyewe" huu ni utaalamu niliowahi kukubaliana nao mfano 04 tunasema inawakilisha idadi ya vitu 4 tofauti na 70 inayowakilisha idadi ya vitu 70. Hata kwenye akidi ya vikao nyeti na wazi bado sifuri haiwezi kutumika kuwakilisha mjumbe asiyefika bali utasikia tu akidi haijatimia kwa ukosefu wa wajumbe labda 06 kati ya wajumbe 10, waliotengeneza akidi ya wajumbe 04 asilimia pungufu ya 50% ni 49-% je ni halali kuendelea na kikao?
Sijasahau mahesabu ya mwalimu wangu pale shule ya msingi aliyeniambia na kunielewesha kwa maneno mawili "Mpe" na "Mtoe" aliyenifundisha kuwa namba ni utambulisho wa idadi ya vitu kama ndivyo je sifuri ni utambulisho wa vitu gani na vingapi ikisimama yenyewe?, jibu li wazi si utambulisho wa idada ya vitu vyovyote bali hewa. Ndiyo ni hewa na hewa ndio chanzo cha uhai wowote.