<br />
<br />. Acha kusifu upuuzi, nyie mliosoma miaka hiyo hapo UDSM, mkapata kazi straight serikalini, na mkapata kuishi na huyo panchi wenu, mmeifirisi serikali kwa uizi na ufisadi wenu. Pamoja na kwamba mlikuwa mna pitia JKT kujifunza uzalendo, hamna chochote nyie wazee mlicholifanyia taifa zaidi ya uizi na ufisadi,mmeinyonya serikali kama kupe, mpaka tumefilisika. Hebu tueleze elimu uliyopata UDSM wakati wa pechi, sijui pachi, imesaidia vipi Taifa. Acha vijana walete mabadiliko mmefilisi vya kutosha. Inawezekana, inawezekana mlitoka na patch za PANCHI wakati mnamaliza UDSM, ndio maana mnatoa tu upepo mtaani. Hamna kitu,hamna uzalendo mmeangamiza taifa tu.