Je mwezi umeonekana huko uliko?

Je mwezi umeonekana huko uliko?

Afghanistan wamekula Leo jumapili IDD tarehe 1 mwezi wa 5.
Na Mimi sijafunga leo
279304390_5386073304757637_6920419096162592512_n.jpg
 
Afghanistan wamekula Leo jumapili IDD tarehe 1 mwezi wa 5.
Na Mimi sijafunga leo View attachment 2207819
Wewe nimekupa Big up ,kuna watu wanafuta popote lakini wanabagua nchi hii haipo sawa na ndio sababu ya mimi kuanza kuanza kusikiliza Bakwata tu kwenye mwezi kutokana na kuona rai ya popote ina makandokando kama hayo mfano watu leo ilibidi iwe Iddi kama ukivyofanya ww.
 
Mufti ametoa tamko chanel ten mda huu.
Mwezi haujaonekana kesho tunafunga
kuna watu mna akili kubwa sana umu ndani

tunashukuru kwa taarifa mkuu maana wengine wanaleta jokes tu

sasa kama yule aliyesema ukafirin ni mtu wa ajabu sana
 
Moja ya matatizo ya vijana wa ch@Dem@ ni hili.... upuuzi unaohusisha ukaskazini na udini. Jitahidini kuficha.
Chadema na ukaskazini vimetoka wapi katika mada hii?
 
Wengine tupo tuswali Eid viwanja vya zakhiem Mbagala
 
Back
Top Bottom