Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,660
BAkwata Ndo sheria Kwa mujibh wa Katiba. Tunasubir tangazo lakeUzi huu ni kwaajili ya kupeana updates za muandamo wa mwezi, ili tujue kama kesho ni siku ya kibaruani au mapumziko? Tuachane na habari za Bakwata. Je, huko ulipo wewe mwana jf mwezangu mwezi umeandama?