Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
nije nikione miss neddy
mmmmnh tatizo hulali na hela weye
Last edited by a moderator:
nije nikione miss neddy
mmmmnh tatizo hulali na hela weye
mmmmnh tatizo hulali na hela weye
Mtoto yake nepi, hayo mambo tuachie ma-papaa
Nasikia kina dada anaenda kwa waganga ili wapewe dawa za kuwawezesha kuhongwa? Na wakitumia dawa hizo wanahongwa kweli kweli, mtu unatoa hola na bado hupewi kitu!!
silali nazo huwa nashinda nazo tu
nawe ni papaa?
Mtengwa unahonga nokia tochi au iphone 5s?
njoo nikufundishe matumizi
poa miss u
nianzishie somo
Thanx mamito...unaangalia mpira?
hahahahaha mi sijasikia hio
We ushawahi kuhongwa?
Kama umewahi kuhongwa ilikuwaje?
lipa ada kwanza kwa kumlipia ticha u goldmember lol
aiseh, kutakuwa na prakiticol ama ni nadharia tu?
mpaka ufuzu nadharia bidii yako ndo utarushwa darasa fasta
ngoja niharakishe M_pesa ikirudi nilipe ada
Habari wakuu,
Eti mwanaume anaehonga ndie mwanaume rijali kwa kuwa ana sifa ya kutafuta na kutumia? Eti mwanaume anaehonga ndio mwanaume anaekonga nyoyo za kidada na kina mama kwa sana?
Je mwanaume asipohonga amepungukiwa kitu? wakuu tujadili ili tuelimishane ili kama vp na mimi nianze kuhonga.