Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Habari wakuu,
Eti mwanaume anaehonga ndie mwanaume rijali kwa kuwa ana sifa ya kutafuta na kutumia? Eti mwanaume anaehonga ndio mwanaume anaekonga nyoyo za kidada na kina mama kwa sana?
Je mwanaume asipohonga amepungukiwa kitu? wakuu tujadili ili tuelimishane ili kama vp na mimi nianze kuhonga.
hilo neno kuhonga linaonekana sio la heshima zaidi,pengine ungelibadili na kusema mwanamme bila kuhudumia hajakamilika?otherwise usipende kula bila kulipa