Kuhonga kama itakuwa na
maana ninayojua Mimi basi haifai kabisa. Ni kheri hawa wanawake
wanaoitwa wazuri niwaite Shemeji.
Kupendwa kwa kuhonga sio
kupendwa na kutapelewa,kuibiwa na kupendwa kwa vitu vyako ,pesa zako na
Mali zako SIO WEWE!Kitu cha kwanza cha kuangalia ktk qualifications ni
hicho.Simtaki hata bureeee....
Kuhonga ni kamtindo
tu kako kwenye fashion za watu kadhaa,na wengine huiga hivyo.
Inategemea na unayemuhonga...kwa mke huiti kuhonga...kwa dada-poa ni
jina tu limegeuzwa, zamani waliita ''kuchunwa'' siku hizi imekuwa
''kuhonga'' n.k hivyo baada ya muda yatakuja majina mengi na urijali
wako uko pale plae kama zamani.
Kuhonga inategemea na roho ya mtu
Define neno "kuhonga" kuna wengine wanachanganya.
kutoa pesa au kitu chochote cha thamani kwa umpendaye bila kuombwa
Najua wajua ila ni zaidi ya ujuavyo.Unaweza kuhonga hata kama mtu hupendi ili mradi tu unasafisha njia akupe kila unachokitaka toka kwake.
Kuhonga ni roho ya aina gani?
yap unajuaje hata mpokeaji anamendea hicho unachomhonga na upendo kwako hana
Hivi kumhonga mtu ili akupe mapenzi ni kumpandisha hadhi au kumshusha hadhi?
Ni roho nyeupe hivi inataka kufanana na ubuyu
tuanzie kwako unaonaje