Je, Mwanaume bila kuhonga hajakamilika?

Je, Mwanaume bila kuhonga hajakamilika?

PAPAA JIWE

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2014
Posts
866
Reaction score
151
Habari wakuu,
Eti mwanaume anaehonga ndie mwanaume rijali kwa kuwa ana sifa ya kutafuta na kutumia? Eti mwanaume anaehonga ndio mwanaume anaekonga nyoyo za kidada na kina mama kwa sana?

Je mwanaume asipohonga amepungukiwa kitu? wakuu tujadili ili tuelimishane ili kama vp na mimi nianze kuhonga.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu inaoneka kama siku zinavyozidi kwenda, kuhonga inakuwa sifa namba moja kwa mwanaume anayependwa na mwanamke!!

Mada nyingine ni majanga tu.kuhonga mpaka tujadili? Huo ni utashi binafs na uwezo wa mtu
 
Mi wananiita kimwaga kwa jinc ninavyohonga ndo maana ndo maana napewa majina mengi tu ya kusifiwa na nikitongoza huwa ckoc kwa hiyo anza tu kuhonga
 
Kuna msemo umezuka siku hizi "eti mwanaume usipohonga mademu wazuri utaishiaa kuwaita shemeji", kumbe una ukweli mkuu??

Mi wananiita kimwaga kwa
jinc ninavyohonga ndo maana ndo maana napewa majina mengi tu ya kusifiwa
na nikitongoza huwa ckoc kwa hiyo anza tu kuhonga
 
Nilisikia jamaa wanasema ukitaka mwanamke akupende ,we muhonge tyuu uone jinsi utakavyomkonga roho lakini hili lisifanyike nje ya mipaka ya tanzania
 
Mkuu unamaanisha kuhonga mwisho mpakani? Nje ya nchi hakuna kuhonga?

Vp mkuu naskia hata mume anaweza kumhonga mke wake halali wa ndoa kwa maisha ya sasa?

Nilisikia jamaa wanasema
ukitaka mwanamke akupende ,we muhonge tyuu uone jinsi utakavyomkonga
roho lakini hili lisifanyike nje ya mipaka ya tanzania
 
Women are different, sio wote utawapata kwa kuwahonga.. Mwingine akijua ulisoma UK tayari ushampata na asiguse hata jero yako. Mwingine akijua mission town zako zinavuka mipaka ya Africa tayari ushamnyaka, na usimrushie vocha hata siku moja.
 
Women are different, sio wote utawapata kwa kuwahonga.. Mwingine akijua ulisoma UK tayari ushampata na asiguse hata jero yako. Mwingine akijua mission town zako zinavuka mipaka ya Africa tayari ushamnyaka, na usimrushie vocha hata siku moja.

Ukiwa kimwaagae unaitwa -----. ukibana matumizi unaitwa mkono wa birika. Anaejua mapenzi hawezi kunilaumu. mimi kukupa nilicho nacho ni kwa kua nakupenda.
 
Habari wakuu,
Eti mwanaume anaehonga ndie mwanaume rijali kwa kuwa ana sifa ya kutafuta na kutumia? Eti mwanaume anaehonga ndio mwanaume anaekonga nyoyo za kidada na kina mama kwa sana?

Je mwanaume asipohonga amepungukiwa kitu? wakuu tujadili ili tuelimishane ili kama vp na mimi nianze kuhonga.

Kwanza neno @Kuhonga maanayake nini?
Tuanze na hapo kwanza
 
Mkuu vp wao huwa wanakupa walichonacho au hili jambo la kutoa ni one direction tu?

Ukiwa kimwaagae unaitwa
-----. ukibana matumizi unaitwa mkono wa birika. Anaejua mapenzi hawezi
kunilaumu. mimi kukupa nilicho nacho ni kwa kua nakupenda.
 
Tumia ile maana iliyozoeleka bongo. "kutumia pesa au kitu kingine chochote cha thamani kumshawishi mwanamke"

Kwanza neno @Kuhonga maanayake nini?
Tuanze na hapo kwanza
 
Nilihamia mtaa mmoja Magomeni. mwanamke wa kwanza aliye jilengesha nilimpa laki na nusu. akanitangaza nikaona mtaa mzima wananichekea. kaja wa pili nikatoa laki. wa tatu laki. baada ya mwezi nikawa nimewafyeka kumi na tatu. Nikahama uhofia waume zao wasije wakanitoa roho.
 
Mkuu unamaanisha kuhonga mwisho mpakani? Nje ya nchi hakuna kuhonga?

Vp mkuu naskia hata mume anaweza kumhonga mke wake halali wa ndoa kwa maisha ya sasa?
ndiyo maana yake kuonga mwisho mpakani,ukiishaingia nchi za watu wanaangalia sana upendo kuliko uhongaji tofauti na hapa kwetu bila kuhongwa hujaeleweka kabisa.kuhusu kumuhonga mke halali wa ndoa inawezekana kabisa japo huwa inapunguzwa makali na kuitwa kuhudumia mama watoto
 
Tumia ile maana iliyozoeleka bongo. "kutumia pesa au kitu kingine chochote cha thamani kumshawishi mwanamke"

Okay, kama ndiyo hiyo tafsiri. Basi kuhonga sio urijali, sio ushawishi, sio kutata kupendwa and act.
Kuhonga ni UTASHI
 
Mkuu hakuna mwanaume bila mwanamke. sasa usipohonga hupati mwanamke. Ndio maana nauliza kama bila kuhonga hakuna mwanaume?

Okay, kama ndiyo hiyo tafsiri. Basi kuhonga sio urijali, sio ushawishi, sio kutata kupendwa and act.
Kuhonga ni UTASHI
 
Mkuu kuna Mzee hapa mtaani kwetu, ana miaka zaidi ya 55 au zaidi hivi, ana hela sana, yaani huyu mzee anatupoteza kabisa kwenye hawa watoto wa miaka 18-25.

Anawakamata sana wakati sisi wengine tunaonekana kama tunawachafua tu.

ndiyo maana yake kuonga
mwisho mpakani,ukiishaingia nchi za watu wanaangalia sana upendo kuliko
uhongaji tofauti na hapa kwetu bila kuhongwa hujaeleweka kabisa.kuhusu
kumuhonga mke halali wa ndoa inawezekana kabisa japo huwa inapunguzwa
makali na kuitwa kuhudumia mama watoto
 
Kuhonga kama itakuwa na maana ninayojua Mimi basi haifai kabisa. Ni kheri hawa wanawake wanaoitwa wazuri niwaite Shemeji.
 
Back
Top Bottom