Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

Mwanamke anaolewa ili afanywe sasa kama hataki au hajisikii kufanywa anafanya nini kwangu.Kama ni mke wangu atakua na excuse siku akiwa period tu hizo sababu nyingine hazina mashiko kwasababu je namimi mwanaume nisipojisikia kufanya naye mwaka mzima kutakua na ndoa hapo.Kumbuka mwanaume asipokua na uwezo wakumwingilia mkewe mke anaweza kuomba talaka.Kwa tafsiri hiyo hakuna kubakana mke na mume vinginevyo kuwe na mgogoro ambao kimsingi lazima wawe mbali mbali sio ndani ya nyumba yenye paa moja.Mambo mengine ya wazungu tuwaachie wenyewe.
 
Kwanini uolewe wakati hutaki kufanya tendo la ndoa?
Kukubali kuolewa ni sawa ni kuhalalisha tendo la ndoa, haya mambo ya kuiga iga mambo ya western countries kuna muda inabidi tuwe makini

Sent using Jamii Forums mobile app
Eh, mwanamke aweza kukataa kumpa haki ya tendo la ndoa mumewe b8la sababu muhimu??? . Vinginevyo mpaka inafikia kubaka , hapo inaonekana kuna ukatili unaendelea kati yao..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eh, mwanamke aweza kukataa kumpa haki ya tendo la ndoa mumewe b8la sababu muhimu??? . Vinginevyo mpaka inafikia kubaka , hapo inaonekana kuna ukatili unaendelea kati yao..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke anapo olewa inamaana ameridhia(consent) kufanya tendo la ndoa mda wowote labda Kama ni mgonjwa anaweza kukataa ila la sivyo hawezi kukataa na akikataa basi ni refusal consummation na ina weza kuwa sababisha separation mpaka divorce.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na vipi kuhusu....
1. Mwanamke lets say ana umri mkubwa akamlazimisha kijana mdogo kufanya nae mapenzi kwa nguvu (inatokea kwa wadada wa kazi na watoto wa kiume) akitishia kumpiga?

2. au kumnyima mshahara in case huyo mwanaume anakua ameajiriwa na huyo mwanamke.

Hii unaiwekaje mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukikubali kuolewa sharti ulale bila nguo...
kwani maana ya kuoana ni nini ???
 
Hivi consent hapa ni ya mwanamke tu? Je mke hawezi mbaka mumewe? It should be both parties i think

Stay home, stay safe
Corona kills
 
Ndugu mbona mbishi sana na uislamu wako uchwala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kuna hiyo sheria inayomkataza mume kumbaka mke wake?
KUNA MAMBO MENGINE YA KUTUNGA MWANADAM YANAPASUA KICHWA. MKE ULIPOMUOA MKAFUNGA NDOA ALISHAJUA ANACHOFUATA KWA MUME, NA MUME AMESHAHALALISHIWA TOKA SIKU HIYO ON WARDS... SASA KUBAKA KUNAKUJAJE???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…