Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Hili swali ambalo lilizuka katika mjadala mmoja wa wazee kijijini kwetu kwamba siyo kawaida kwa mwanamme kumkatalia mke/mpenzi wake mapenzi hasa kama mwanamke ndiye amekuwa mwanzishi. Tena mzee mmoja alisema haitakiwi kabisa kwa mwanamme kumkatalia mke/mpenzi wake haki "yake". Mwingine alisema na ninanukuu "if a man rejects his wife/lover's advances for intimacy it can be taken as an insult to the womanhood of all women worldwide".
Je ni ya kweli haya? ni kweli mume/bf wako akikukatalia utachukulia kama an insult kweli na unaweza kumfikiria vibaya sana?
Je ni ya kweli haya? ni kweli mume/bf wako akikukatalia utachukulia kama an insult kweli na unaweza kumfikiria vibaya sana?