Ulirchdov
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 356
- 258
Licha ya kufikia 2045 tuangalie kwanza Tanzania Development Vision of 2025 mkakati ambao lengo lake ni kuhakikisha Tanzania inakuwa nchi ya viwanda na yenye kipato cha kati itakapokuwa imefika 2025.Ujenzi wa Viwanda unaondelea kwa kasi, Miundo mbinu na uwekezaji kasi katika Elimu na nyanja mbalimbali, hatuna Mpinzani tutaipita South Africa, Nigeria, Egypt, Kenya
Naiona Tanzania kiranja mkuu wa Africa.
Je, ni kweli tutaweza kufikia lengo?
Kama lengo litafikiwa basi tunaweza tukapiga hatua na tukawa nchi miongoni mwa nchi zenye uchumi imara Afrika