Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 1,977
- 3,302
Tofauti na Mungu Vatican
Huo ndio uongo mkuu zaidi wa Ukatoliki, na ndio unabeba madanganyo yake mengine yote.Mkuu tambua hiyo biblia unayoiamini walio itunza na kuilinda ni wakatoliki ukiristo bila ukatoliki ungekua umepotea siku nyingi.
Kwangu mimi ukatoliki ndio mlizi wa ukristo duniani.
Ww sema tuuhUkatoliki unaelekea kufa, ni rahisi kwa mkatoliki kwenda kusali kwa walokole, lakini ningumu sana kwa mlokole kwenda kwenye ibada za wakatoliki, why? Kwa sababu ya masanamu yalipo kwa wakatoliki, sala za wakatoliki zimepoooza sana wakti sala za walokole ni za moto! sala za wakatoliki ni za kukariri na zina boa, wakati sala za kilokole zimechangamka{wana rap kama eminem], mkatoliki akifa kama alikuwa haendi jumuia hazikwi tofauti na walaokole! Walokole wanamtumia sana roho mtakatifu tofauti na wakatoliki
Andika TenaHuo ndio uongo mkuu zaidi wa Ukatoliki.
Kwa taarifa yako Ukatoliki ndio umeuchafua Ukristo kuliko kingine chochote.
👉Ukatoliki ndio umesababisha hadi leo Ukristo hauwezi kupenyeka kirahisi Mashariki ya Kati na maeneo mbalimbali mengine.
👉Vile vita vijulikanavyo kama Vita vya Msalaba alivyovianzisha Papa Urban II kunako karne ya 11, vikaendelea hadi karne ya 14, ni donda baya mno lilosababishwa na hao wanaojiita eti ni Wakristo.
👉Ukatoliki ulizuia kabisa Biblia zisitafsiriwe wala kusomwa wala kumilikiwa na waumini wa kawaida
👉Wasiokubali imani ya Ukatoliki waliuawa kikatili mno, wengi walifungwa na kuchomwa moto.
👉Wakati fulani kwa Wakristu huko Ufaransa, Papa Innocent III alitoa amri akisema ^waueni wote, Mungu atajichagulia walio Wake huko huko!^
👉Maelfu kwa maelfu waliuawa kwa amri ya yule anayejiita eti ndiye mwakilishi wa Mungu duniani! Fedheha na kufuru ilioje!
👉Upagani ulioenea makanisani leo ni matokeo ya Ukatoliki kuunajisi Ukristu.
👉Ibada za sanamu ziliingia kwenye makanisa ya Ukristu kupitia mlango wa Ukatoliki.
👉Ukatoliki ulihusika kupindua serikali na tawala za nchi na falme mbalimbali ambazo hazikukubali kuufuata Ukatoliki. Na ndivyo hufanya hadi leo.
👉Ukatoliki ndio chanzo cha umaskini wa mataifa mengi duniani; Vatikani imepoka mali na pesa nyingi za nchi na falme mbalimbali, kwa njia ya hilarious, ulaghai, na kutumia vitisho na nguvu.
👉Ukatoliki ulihusika 100% kughushi nyaraka na maandishi mbalimbali na kuongeza kama sehemu ya vitabu vya Biblia ili tu kuunga mkono mafundisho yake yasiyokuwa kwenye Biblia.
👉Kuanzishwa kwa dini ya Kiislamu katika karne ya 7 BK ni matokeo ya moja kwa moja ya mbinu chafu za Ukatoliki.
Wakatoliki hawaabudu sanamu, ila wanasujudu sanamu ya MwanamkeKanisa Katoliki haliabudu Sanamu bali linaabudu katika kweli, lakini kwa vile unachukulia vitu juu juu huwezi kuelewa hili.
Andika Tena
👉 [3] Usiwe na miungu mingine ila Mimi.Wakatoliki hawaabudu sanamu, ila wanasujudu sanamu ya Mwanamke
Kusujudu ni kuabuduWakatoliki hawaabudu sanamu, ila wanasujudu sanamu ya Mwanamke
Hilo basi ni kanisa. La mchongo.Mkuu ungechukua muda ukajifunza falsafa za RC usingeandika hiki ulichokiandika
1. Kanisa haliamini kuwa biblia ndo muongozo pekee wa kusimamia hilo kanisa, wana vyanzo vingine vya mambo mambo yao
2. Wanaamini pope ni mungu, yupo daraja la juu kuliko binadamu, ni muakilishi wa Mungu hapa duniani
3. Kanisa linaweza kufuta amri yoyote unayoijua kwenye biblia wakaweka ya kwao. mfano walifuta ile inayokataza kuchonga sanamu na wakagawanya ile ya kutamani ikawa mbili ili mradi kuzuga kuwa ni kumi