Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 1,728
- 6,792
Uongozi wa Roman Catholic kwa miaka 15 iliopita umekua na changamoto sana hasa hasa kuhusu mambo ya ubakaji, rushwa na ushoga.
Miaka ilopita tulishuhudia Papa Benedict anajiondoa kwenye kile kiti, kitendo ambacho kilizua maswali mengi sana. Japo baadhi ya watu wanadai Papa Bemedict alikua anasukumwa na baraza lake kuidhinisha vitendo vya 'laana' ikiwemo ndoa za jinsia moja - ushoga. Hivyo ili kulinda agano lake kwa Mungu na mtangulizi wake (pope John Paul II) ikabidi aachie kiti kuliko kufanya maamuzi yanayoruhusu kuingiza laana kwenye kanisa.
Kwa hali inayoendelea kwa sasa kuna maswali mengi yanajitokeza.
kwa nini Roman Catholic wasiruhusu kubariki ndoa za wake wengi waje kuruhusu kubariki ushoga?
Kwa nn wasiruhusu na kubariki utumiaji wa njia za uzazi wa mpango waje waruhusu ushoga?
Kwa nn wasiwaruhusu makasisi kuoa waje waruhusu kubariki wanaume kuoana wao kwa wao?
Nimesoma huo waraka ulotolewa unadai haujaruhusu ndoa za jinsia moja ila umeruhusu 'kubariki' mahusiano ya jinsia moja. Kitendo cha kuruhusu kubariki haya mahusiano ya kishoga si ndio hukohuko kutoa go-ahead watu wafanyiane mambo ya sodoma na gomorra.
Je, sisi wazazi tutawaambia nn watoti wetu tunaowakataza kuangalia tamthilia za kifilipino na kizungu zinazoonesha ushoga lakini tunawaruhusu kwenda kanisani ambapo viongozi eake wameambiwa wabariki ushoga? Kwa maneno mengine Roman Catholic imeruhusu mashoga kwenda kanisani wameshikana kama couple za kawaida.
Tumaini pekee la kuokoa kanisa dhidi ya huu ufilauni ni hawa 'Conservative Cardinals' na hata wakiweza wamuondoe huyu Papa kwemye hicho kiti maana kwenye uongozi wake hakuna kikubwa alichofanya kwenye kanisa zaidi ya kuharibu miiko iliopo toka zama na zama.
Mtakatifu Yohanna Paulo wa pili, Utuombee. Amen
Miaka ilopita tulishuhudia Papa Benedict anajiondoa kwenye kile kiti, kitendo ambacho kilizua maswali mengi sana. Japo baadhi ya watu wanadai Papa Bemedict alikua anasukumwa na baraza lake kuidhinisha vitendo vya 'laana' ikiwemo ndoa za jinsia moja - ushoga. Hivyo ili kulinda agano lake kwa Mungu na mtangulizi wake (pope John Paul II) ikabidi aachie kiti kuliko kufanya maamuzi yanayoruhusu kuingiza laana kwenye kanisa.
Kwa hali inayoendelea kwa sasa kuna maswali mengi yanajitokeza.
kwa nini Roman Catholic wasiruhusu kubariki ndoa za wake wengi waje kuruhusu kubariki ushoga?
Kwa nn wasiruhusu na kubariki utumiaji wa njia za uzazi wa mpango waje waruhusu ushoga?
Kwa nn wasiwaruhusu makasisi kuoa waje waruhusu kubariki wanaume kuoana wao kwa wao?
Nimesoma huo waraka ulotolewa unadai haujaruhusu ndoa za jinsia moja ila umeruhusu 'kubariki' mahusiano ya jinsia moja. Kitendo cha kuruhusu kubariki haya mahusiano ya kishoga si ndio hukohuko kutoa go-ahead watu wafanyiane mambo ya sodoma na gomorra.
Je, sisi wazazi tutawaambia nn watoti wetu tunaowakataza kuangalia tamthilia za kifilipino na kizungu zinazoonesha ushoga lakini tunawaruhusu kwenda kanisani ambapo viongozi eake wameambiwa wabariki ushoga? Kwa maneno mengine Roman Catholic imeruhusu mashoga kwenda kanisani wameshikana kama couple za kawaida.
Tumaini pekee la kuokoa kanisa dhidi ya huu ufilauni ni hawa 'Conservative Cardinals' na hata wakiweza wamuondoe huyu Papa kwemye hicho kiti maana kwenye uongozi wake hakuna kikubwa alichofanya kwenye kanisa zaidi ya kuharibu miiko iliopo toka zama na zama.
Mtakatifu Yohanna Paulo wa pili, Utuombee. Amen