Je, Muhammad alikutana na malaika au shetani?

Je, Muhammad alikutana na malaika au shetani?

alipofika kwa mkewe, alimwambia kuwa ametokewa na shetwani aliyembana koo, mkewe alivyomwona ana hofu ndipo alipompeleka kwa binamu yake
Kwahiyo mkuu mwanamke amesaidia sana kuuleta Uislam dunian!? Kumbe mtume mwenyewe alishasema ni shetani.!?
 
Cover me, cover me!" because he was trembling and believed he might be possessed by a jinn (demon) or that he was becoming a mad poet.
Kumbe Muhammad mwanzoni kabisa alikiri kuwa alitokewa na jinn!?
 
Mambo ya imani huwa sifatili lakini katika normal sense Malaika kwenye vitabu vya dini anaandikwa kama sign of peace.
Sii rahisi afike kwa mtume wa mungu amkabe kiasi hicho huku akimshurutisha kusoma. Mimi hapo nitaenda na mawazo ya mtume kama alivyodhani yeye kuwa kile kiumbe kilikuwa ni jini au shetani.
 
Mambo ya imani huwa sifatili lakini katika normal sense Malaika kwenye vitabu vya dini anaandikwa kama sign of peace.
Sii rahisi afike kwa mtume wa mungu amkabe kiasi hicho huku akimshurutisha kusoma. M
Tukio la watu kukabwa koo na pepo wachafu limekuwa likisimuliwa hata katika maisha ya kila siku, ambapo wengine hudai kushuhudia watu wakipatwa na hali hiyo na kuteseka sana. Je, kwa mtume wa Mungu, inawezekana tukio hilo lilikuwa la kipekee labda likihusishwa na malaika?
 
😁
Kwahiyo mliuliza swali ili tuwafahamishe au kejeli?
Sasa hizi kejeli zako zinasaidia nini katika iman ambayo huamini?
Wewe endelea kuamini tu kuwa mungu wako aligongwa misumari na wayahudi ili usiwe na zambi hata ukizini.
Muddy alikuwa kilaza. Hajui A wala B. Halafu allah akaona Muddy anavyosema hajui kusoma anadanganya? Akamkaba nusra kumuua. Alipoona kweli anataka kata roho na hasomi akaamini jamaa si mwongo. Muddy akatoka pangoni kama kichaa. Mkewe ndo akamwambia ampeleke kwa Mjomba wake mganga. Akamwambia JIBASHIRIE UTUME. Na akaja kufa kwa Ngoma sababu ya Umalaya
 
Mimi nauliza swali sincerely kabisa, je huko kwenye pango alifuata nini?

Watajizima data .
Ila Mohamed kabla ya kushushiwa wahyi alikuwa ana abudu Miungu ya kiarabu.

Alikuwa anafunga ashura, anazunguka al kaaba , ana abudu miungu ile 360 na mmoja wa hao miungu alikuwa anaitwa allah.
Na ndio maana Baba wa muhamed aliitwa Abdallah. (Mtoto wa allah).

Baada ya kupokea Wahyi akajinasaba na Dini ya wakristo.
Na kwa miaka 20 kati ya 23 ya utume wake alikuwa anasali kuelekea Yerusalem. (Sehem ambayo yeye Mohamed hajawah kufika) .
 
Back
Top Bottom