Je, msimamo wa Steve Jobs kwa android ulikuwa ni sahihi? (ijue Thermonuclear war)

Miki123

JF-Expert Member
Apr 27, 2018
288
502
Steve jobs aliyekuwa CEO wa apple inc alikuwa na msimamo mkali kwa android ambao ungeipeleka OS hiyo ya google kusuasua.

Kama ulikuwa ufahamu kuhusu vita hii basi ilikuwa hivi. Steve Jobs alipania kuiangusha OS ya android (OS ya wanyonge) hata kama ingeigharimu apple kiasi cha pesa zao zote zilizopo benki wakati huo.

Jobs alidai kuwa google walikopi feature za ios kuunda android os. Hapa mwandishi Walter Isaacson alimnukuu jobs akisema.

"I'm going to destroy Android, because it's a stolen product. I'm willing to go thermonuclear war on this."

Kiswahili
"Naenda kuiharibu android, Sababu ni bidhaa iliyoibiwa, nipo tayari kuanzisha vita ya thermonuclear kwenye hili"

Steve anaendelea,
"I will spend my last dying breath if I need to, and I will spend every penny of Apple's $40 billion [£25bn] in the bank, to right this wrong."

Ikumbukwe kuwa,
Google hawakuunda android bali waliinunua.
Google walipanga kuizindua android mapema kabisa.

Lakini baada ya apple kuzindua iphone ya kwanza iliwalazimu google kurudi tena maabara na kuanza tena upya kuimodify android.

Android ilizinduliwa baada ya miezi kumi tangu iphone kuzinduliwa.

Baada ya hapo Thermonuclear war ilianza.
1. Iphone ilianza kuzuia apps za google app store wakitaka wapunguze kutengeneza apps zinazobase sana kwenye muundo wa web apps(apps zinazoitaji internet)

2. Makampuni ya simu yanayotumia android os yalianza kushtakiwa, waathirika wakubwa walikuwa ni Samsung na motorola.

Apple walidai kuwa samsung imekopi design yao, cheki hii picha.
1589139033337.png
1589139040134.png


Ukiinglalia android ya mwanzo kabisa zina utofauti sana kiasi cha unaweza ukadhani ni os tofauti kabisa.
google_android_sooner_9.jpg

Hivi ndivyo android os ya mwanzo ilivyokuwa, nani aliwahi tumia hii?

Mi kitu kimoja ninachojua, hakuna kitu kipya watu wanaekeza na kufanya maboresho ya bidhaa kuendana na mahitaji ya wateja, lakini kwa kutazama hizo os kulikuwa na ulazima wa jobs kutaka kuikazia google kiasi hicho je android ingekuwa maarufu hivi kama job angekuwepo.
 
Steve jobs aliyekuwa CEO wa apple inc alikuwa na msimamo mkali kwa android ambao ungeipeleka OS hiyo ya google kusuasua.
Kama ulikuwa ufahamu kuhusu vita hii basi ilikuwa hivi.
Steve Jobs alipania kuiangusha OS ya android(OS ya wanyonge) hata kama ingeigharimu apple kiasi cha pesa zao zote zilizopo benki wakati huo.

Jobs alidai kuwa google walikopi feature za ios kuunda android os.
Hapa mwandishi Walter Isaacson alimnukuu jobs akisema.

"I'm going to destroy Android, because it's a stolen product. I'm willing to go thermonuclear war on this."
Kiswahili.
"Naenda kuiharibu android, Sababu ni bidhaa iliyoibiwa, nipo tayari kuanzisha vita ya thermonuclear kwenye hili"
Steve anaendelea,
"I will spend my last dying breath if I need to, and I will spend every penny of Apple's $40 billion [£25bn] in the bank, to right this wrong."
Ikumbukwe kuwa,
Google hawakuunda android bali waliinunua.
Google walipanga kuizindua android mapema kabisa.

Lakini baada ya apple kuzindua iphone ya kwanza iliwalazimu google kurudi tena maabara na kuanza tena upya kuimodify android.
Android ilizinduliwa baada ya miezi kumi tangu iphone kuzinduliwa.

Baada ya hapo Thermonuclear war ilianza.
1. Iphone ilianza kuzuia apps za google app store wakitaka wapunguze kutengeneza apps zinazobase sana kwenye muundo wa web apps(apps zinazoitaji internet)

2. Makampuni ya simu yanayotumia android os yalianza kushtakiwa, waathirika wakubwa walikuwa ni Samsung na motorola.

Apple walidai kuwa samsung imekopi design yao, cheki hii picha.
View attachment 1446319View attachment 1446320

Ukiinglalia android ya mwanzo kabisa zina utofauti sana kiasi cha unaweza ukadhani ni os tofauti kabisa.
google_android_sooner_9.jpg

Hivi ndivyo android os ya mwanzo ilivyokuwa, nani aliwahi tumia hii?

Mi kitu kimoja ninachojua, hakuna kitu kipya watu wanaekeza na kufanya maboresho ya bidhaa kuendana na mahitaji ya wateja, lakini kwa kutazama hizo os kulikuwa na ulazima wa jobs kutaka kuikazia google kiasi hicho je android ingekuwa maarufu hivi kama job angekuwepo.
Duh
 
Steve jobs aliyekuwa CEO wa apple inc alikuwa na msimamo mkali kwa android ambao ungeipeleka OS hiyo ya google kusuasua.
Kama ulikuwa ufahamu kuhusu vita hii basi ilikuwa hivi.
Steve Jobs alipania kuiangusha OS ya android(OS ya wanyonge) hata kama ingeigharimu apple kiasi cha pesa zao zote zilizopo benki wakati huo.

Jobs alidai kuwa google walikopi feature za ios kuunda android os.
Hapa mwandishi Walter Isaacson alimnukuu jobs akisema.

"I'm going to destroy Android, because it's a stolen product. I'm willing to go thermonuclear war on this."
Kiswahili.
"Naenda kuiharibu android, Sababu ni bidhaa iliyoibiwa, nipo tayari kuanzisha vita ya thermonuclear kwenye hili"
Steve anaendelea,
"I will spend my last dying breath if I need to, and I will spend every penny of Apple's $40 billion [£25bn] in the bank, to right this wrong."
Ikumbukwe kuwa,
Google hawakuunda android bali waliinunua.
Google walipanga kuizindua android mapema kabisa.

Lakini baada ya apple kuzindua iphone ya kwanza iliwalazimu google kurudi tena maabara na kuanza tena upya kuimodify android.
Android ilizinduliwa baada ya miezi kumi tangu iphone kuzinduliwa.

Baada ya hapo Thermonuclear war ilianza.
1. Iphone ilianza kuzuia apps za google app store wakitaka wapunguze kutengeneza apps zinazobase sana kwenye muundo wa web apps(apps zinazoitaji internet)

2. Makampuni ya simu yanayotumia android os yalianza kushtakiwa, waathirika wakubwa walikuwa ni Samsung na motorola.

Apple walidai kuwa samsung imekopi design yao, cheki hii picha.
View attachment 1446319View attachment 1446320

Ukiinglalia android ya mwanzo kabisa zina utofauti sana kiasi cha unaweza ukadhani ni os tofauti kabisa.
google_android_sooner_9.jpg

Hivi ndivyo android os ya mwanzo ilivyokuwa, nani aliwahi tumia hii?

Mi kitu kimoja ninachojua, hakuna kitu kipya watu wanaekeza na kufanya maboresho ya bidhaa kuendana na mahitaji ya wateja, lakini kwa kutazama hizo os kulikuwa na ulazima wa jobs kutaka kuikazia google kiasi hicho je android ingekuwa maarufu hivi kama job angekuwepo.
Apple ni kamapuni inayojiendesha kwa hypes, bila vitu kama hivi kujisifia, kutengeneza drama za hapa na pale hii kampuni haijakamilika.

kuna hii website mkuu inaitwa gsmhistory, ni nzuri sana kuangalia historia ya simu, na muanzilishi wa hio website ni katika watu walioshiriki kutengeneza GSM, hivyo na yeye ni part ya evolution ya simu,
Home Page

kitu pekee ambacho Job anaweza kujivunia ni kutengeneza browser nzuri ya simu, kitu ambacho kwa wakati huo opera mini na wenzake walikuwa wameshindwa, safari ilikuwa ni nzuri. ukitoa hivyo vilivyobakia vyote Apple wamecopy copy kila mahala.

na iphone ya kwanza hio ya 2007
1. haikuwa na store
2. huwezi kudownload apps
3. haina 3g
4. haina gps etc

kifupi haikuwa na sifa yoyote ya kuitwa smartphone, simu nyingi kipindi hiko zilikuwa advanced zaidi hasa simu za symbian na maemo/moblin

hii video ya maemo mkuu, os ya 2004 ambayo ni ya touch mpaka ikaja kuwa meego,


angalia hio os, angalia widgets, arrangement za notification icons etc utaona wote Android na Ios wamecopy wapi.
 
Job amefariki Android ikiwa maarufu sana.

Sio yeye tu aliekua anajilaumu kuhusu Andoid. Bill Gate alijilaumu kwa nini hakuiua mapema Android.

Nadhani ilikua ni wakati wa Android.
Android ni maarufu kwasababu inatoka na device nyingi sana.

Nyingine hadi low quality.

Iphone ni premium brand. Sio kila mtu anaweza afford.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Android ni maarufu kwasababu inatoka na device nyingi sana.

Nyingine hadi low quality.

Iphone ni premium brand. Sio kila mtu anaweza afford.


Sent using Jamii Forums mobile app
ni kama unataka kusema ios sio maarufu,au sijakuelewa???

maana watu wanazinunua sana,labda kama unamaanisha high end,kitu ambacho hata android high end devices ni wachache wanagusa.
 
Apple ni kamapuni inayojiendesha kwa hypes, bila vitu kama hivi kujisifia, kutengeneza drama za hapa na pale hii kampuni haijakamilika.

kuna hii website mkuu inaitwa gsmhistory, ni nzuri sana kuangalia historia ya simu, na muanzilishi wa hio website ni katika watu walioshiriki kutengeneza GSM, hivyo na yeye ni part ya evolution ya simu,
Home Page

kitu pekee ambacho Job anaweza kujivunia ni kutengeneza browser nzuri ya simu, kitu ambacho kwa wakati huo opera mini na wenzake walikuwa wameshindwa, safari ilikuwa ni nzuri. ukitoa hivyo vilivyobakia vyote Apple wamecopy copy kila mahala.

na iphone ya kwanza hio ya 2007
1. haikuwa na store
2. huwezi kudownload apps
3. haina 3g
4. haina gps etc

kifupi haikuwa na sifa yoyote ya kuitwa smartphone, simu nyingi kipindi hiko zilikuwa advanced zaidi hasa simu za symbian na maemo/moblin

hii video ya maemo mkuu, os ya 2004 ambayo ni ya touch mpaka ikaja kuwa meego,


angalia hio os, angalia widgets, arrangement za notification icons etc utaona wote Android na Ios wamecopy wapi.
Doh 2004 ngoma ina 3G
 
Steve jobs aliyekuwa CEO wa apple inc alikuwa na msimamo mkali kwa android ambao ungeipeleka OS hiyo ya google kusuasua.

Kama ulikuwa ufahamu kuhusu vita hii basi ilikuwa hivi. Steve Jobs alipania kuiangusha OS ya android (OS ya wanyonge) hata kama ingeigharimu apple kiasi cha pesa zao zote zilizopo benki wakati huo.

Jobs alidai kuwa google walikopi feature za ios kuunda android os. Hapa mwandishi Walter Isaacson alimnukuu jobs akisema.

"I'm going to destroy Android, because it's a stolen product. I'm willing to go thermonuclear war on this."

Kiswahili
"Naenda kuiharibu android, Sababu ni bidhaa iliyoibiwa, nipo tayari kuanzisha vita ya thermonuclear kwenye hili"

Steve anaendelea,
"I will spend my last dying breath if I need to, and I will spend every penny of Apple's $40 billion [£25bn] in the bank, to right this wrong."

Ikumbukwe kuwa,
Google hawakuunda android bali waliinunua.
Google walipanga kuizindua android mapema kabisa.

Lakini baada ya apple kuzindua iphone ya kwanza iliwalazimu google kurudi tena maabara na kuanza tena upya kuimodify android.

Android ilizinduliwa baada ya miezi kumi tangu iphone kuzinduliwa.

Baada ya hapo Thermonuclear war ilianza.
1. Iphone ilianza kuzuia apps za google app store wakitaka wapunguze kutengeneza apps zinazobase sana kwenye muundo wa web apps(apps zinazoitaji internet)

2. Makampuni ya simu yanayotumia android os yalianza kushtakiwa, waathirika wakubwa walikuwa ni Samsung na motorola.

Apple walidai kuwa samsung imekopi design yao, cheki hii picha.
View attachment 1446319View attachment 1446320

Ukiinglalia android ya mwanzo kabisa zina utofauti sana kiasi cha unaweza ukadhani ni os tofauti kabisa.
google_android_sooner_9.jpg
Simu yangu ya android ya kwanza kuitumia ilikuwa HTC G2 mwaka 2010 kama sijakosea, na Yes, Iphone ilipozinduliwa Google ali abandon project ya simu aliyotaka kuzindua akarudi tena maabara kujipanga upya. Blackberry wao walipuuzia kilichowapata hawatokaa wasahau maana ilikuwa late wakaja na bomu la blackberry storm likawalipukia
 
Apple bwana...vip kwanza washawalipa watu wote walio slow down simu zao kwa makusud?

Hizi simu ni vimeo sjapata kuona...yani iphone saiz zinafanyiwa rebbaling kila kukicha..yani kama mishikaki vile..na bila hivyo ndio inakufia geto...yan mambo kama ya mtk kweny emmc..lakin bado watu wanaita iphone ni premium



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Apple bwana...vip kwanza washawalipa watu wote walio slow down simu zao kwa makusud?

Hizi simu ni vimeo sjapata kuona...yani iphone saiz zinafanyiwa rebbaling kila kukicha..yani kama mishikaki vile..na bila hivyo ndio inakufia geto...yan mambo kama ya mtk kweny emmc..lakin bado watu wanaita iphone ni premium



Sent using Jamii Forums mobile app
hoja ni kwamba tunanunua refub,sasa uliza kwani aliyenunua s5 mpya dukani kuna utumbo wowote atakiwa kakutana nao??

kina member aliishauliza kuhusu kifo cha fingerprint rofauti na simu nyingine,majibu yakaangukia kwenye mahaba zaidi ya utafiti.
 
Steve jobs aliyekuwa CEO wa apple inc alikuwa na msimamo mkali kwa android ambao ungeipeleka OS hiyo ya google kusuasua.

Kama ulikuwa ufahamu kuhusu vita hii basi ilikuwa hivi. Steve Jobs alipania kuiangusha OS ya android (OS ya wanyonge) hata kama ingeigharimu apple kiasi cha pesa zao zote zilizopo benki wakati huo.

Jobs alidai kuwa google walikopi feature za ios kuunda android os. Hapa mwandishi Walter Isaacson alimnukuu jobs akisema.

"I'm going to destroy Android, because it's a stolen product. I'm willing to go thermonuclear war on this."

Kiswahili
"Naenda kuiharibu android, Sababu ni bidhaa iliyoibiwa, nipo tayari kuanzisha vita ya thermonuclear kwenye hili"

Steve anaendelea,
"I will spend my last dying breath if I need to, and I will spend every penny of Apple's $40 billion [£25bn] in the bank, to right this wrong."

Ikumbukwe kuwa,
Google hawakuunda android bali waliinunua.
Google walipanga kuizindua android mapema kabisa.

Lakini baada ya apple kuzindua iphone ya kwanza iliwalazimu google kurudi tena maabara na kuanza tena upya kuimodify android.

Android ilizinduliwa baada ya miezi kumi tangu iphone kuzinduliwa.

Baada ya hapo Thermonuclear war ilianza.
1. Iphone ilianza kuzuia apps za google app store wakitaka wapunguze kutengeneza apps zinazobase sana kwenye muundo wa web apps(apps zinazoitaji internet)

2. Makampuni ya simu yanayotumia android os yalianza kushtakiwa, waathirika wakubwa walikuwa ni Samsung na motorola.

Apple walidai kuwa samsung imekopi design yao, cheki hii picha.
View attachment 1446319View attachment 1446320

Ukiinglalia android ya mwanzo kabisa zina utofauti sana kiasi cha unaweza ukadhani ni os tofauti kabisa.
google_android_sooner_9.jpg

Hivi ndivyo android os ya mwanzo ilivyokuwa, nani aliwahi tumia hii?

Mi kitu kimoja ninachojua, hakuna kitu kipya watu wanaekeza na kufanya maboresho ya bidhaa kuendana na mahitaji ya wateja, lakini kwa kutazama hizo os kulikuwa na ulazima wa jobs kutaka kuikazia google kiasi hicho je android ingekuwa maarufu hivi kama job angekuwepo.

system za os zipo nyingi kwa kuwa zipo open source na unaweza kufanya mfumo wako.baada ya mapinduzi makubwa ya linux kila mtu ameweza kujenga mfumo wake.
kitu ambacho mifumo ya os inaogopa ni sawa na mziki ukakutane na miziki mingi.
unaweza kutengeneza os ukakosa madeveloper wa kuendeleza au apps developer.
unaweza kutengeneza os ukokosa support ya serekali au watumiaji wenye huitaji wa hiyo os.
apple alijiindaa ios yake wakati hana zindua simu yake alikuwa na apps zisozidi milioni moja na madeveloper laki moja na kuendelea hata waisani.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom