Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,784
Windows os ilikuwa mbaya Sana, sio user friendlyJob amefariki Android ikiwa maarufu sana.
Sio yeye tu aliekua anajilaumu kuhusu Andoid. Bill Gate alijilaumu kwa nini hakuiua mapema Android.
Nadhani ilikua ni wakati wa Android.