Je, mradi wa umeme wa msongo kv 132 wa sh bil 34 umepitezwa kwasababu ya ujenzi wa flyover?

MWAISEMBA CR

Member
Apr 21, 2014
86
78
NAOMBA KUULIZA KUHUSU UMEME WA MSONGO WA KV 132 ULIOKUWA UMEPITISHWA PALE UBONGO TO MAKUMBUSHO?

Nilikuwa Nimeambiwa Ule mradi wa Umeme wa Msongo wa KV 132 uliokuwa unaanzia Ubungo to makumbusho Unafanya Kazi na unaendelea kupitisha umeme kama kawaida, ambao ulianzishwa na Serikali ya Jakaya Mrisho Kikwete tangu Mwaka 2010.

Sasa Tangu wiki iliyopita Nimepita maeneo ya Ubungo ,Nimeona zile nguzo za Nyaya za umeme zilizopo maeneo yale zikitolewa kabisa

Sasa Swali langu, Kwanini Waondoe Nguzo na Nyaya za Umeme kwa mrardi Mkubwa ulioligharimu Taifa kwa Msaada wa Serikali ya Japan kwa karibu Sh Bilion 34/=⁉

Au kwasababu wanaweka Flyover maeneo hayo ya Ubungo❓
Je Ujenzi wa Flyover ndio unaharibu upatikanaji wa Huduma ya umeme huo uliokuwa unapatiwa kwa watu kama tulivyoambiwa❓

Je Pesa zote hizo Bilion 34 tumeamua Kuzichinjia baharini kwasababu ya Ujenzi wa Flyover hapo Ubungo❓

🔵 Na: Shujaa Charles Mwaisemba
 
Sasa jibu lake si ndio mkuu hizo bilioni 34 zimeshapotea, cha msingi sifa za fly over zikija atapewa huyu mtu aliepo sasa hivi
 
NAOMBA KUULIZA KUHUSU UMEME WA MSONGO WA KV 132 ULIOKUWA UMEPITISHWA PALE UBONGO TO MAKUMBUSHO?

Nilikuwa Nimeambiwa Ule mradi wa Umeme wa Msongo wa KV 132 uliokuwa unaanzia Ubungo to makumbusho Unafanya Kazi na unaendelea kupitisha umeme kama kawaida, ambao ulianzishwa na Serikali ya Jakaya Mrisho Kikwete tangu Mwaka 2010 na unawahudumia Watanzania Wengi tangu ulivyoanzishwa.

Sasa Tangu wiki iliyopita Nimepita maeneo ya Ubungo ,Nimeona zile nguzo za Nyaya za umeme zilizopo maeneo yale zikitolewa kabisa na wanachimba mashimo kwa ajili ya maandalizi ya Ujenzi wa Flyover

Sasa Swali langu, Kwanini Waondoe Nguzo na Nyaya za Umeme kwa mrardi Mkubwa ulioligharimu Taifa kwa Msaada wa Serikali ya Japan kwa karibu Sh Bilion 34/=⁉

Au kwasababu wanaweka Flyover maeneo hayo ya Ubungo❓

Je Ujenzi wa Flyover ndio unaharibu upatikanaji wa Huduma ya umeme huo uliokuwa unapatiwa kwa watu kama tulivyoambiwa❓

Je Pesa zote hizo Bilion 34 tumeamua Kuzichinjia baharini kwasababu ya Ujenzi wa Flyover hapo Ubungo❓

Je Serikali haikuwa na Mpango wa Muda mrefu wa kujua kuwa Mwaka 2018 wataanza ujenzi wa Flyover maeneo ya Ubungo mpaka waweke leo(2010) Nguzo za umeme na mradi mkubwa wa umeme uliogharimu Pesa Nyingi alafu kesho yake(2018) wanazibomoa na mradi wanausitisha?

Kama Mradi ulikuwa upo unafanya kazi ya kuwahudumia watanzania, walio wengi na umegharimu hela nyingi , iweje usitishwe kabisa au wana njia gani mbadala? Au Umeme haukuwa unapita na kufanya kazi ndio maana wameamua kuziondoa zile nguzo?

🔵 Na: Shujaa Charles Mwaisemba
 
NAOMBA KUULIZA KUHUSU UMEME WA MSONGO WA KV 132 ULIOKUWA UMEPITISHWA PALE UBONGO TO MAKUMBUSHO?

Nilikuwa Nimeambiwa Ule mradi wa Umeme wa Msongo wa KV 132 uliokuwa unaanzia Ubungo to makumbusho Unafanya Kazi na unaendelea kupitisha umeme kama kawaida, ambao ulianzishwa na Serikali ya Jakaya Mrisho Kikwete tangu Mwaka 2010.

Sasa Tangu wiki iliyopita Nimepita maeneo ya Ubungo ,Nimeona zile nguzo za Nyaya za umeme zilizopo maeneo yale zikitolewa kabisa

Sasa Swali langu, Kwanini Waondoe Nguzo na Nyaya za Umeme kwa mrardi Mkubwa ulioligharimu Taifa kwa Msaada wa Serikali ya Japan kwa karibu Sh Bilion 34/=⁉

Au kwasababu wanaweka Flyover maeneo hayo ya Ubungo❓
Je Ujenzi wa Flyover ndio unaharibu upatikanaji wa Huduma ya umeme huo uliokuwa unapatiwa kwa watu kama tulivyoambiwa❓

Je Pesa zote hizo Bilion 34 tumeamua Kuzichinjia baharini kwasababu ya Ujenzi wa Flyover hapo Ubungo❓

🔵 Na: Shujaa Charles Mwaisemba
UPO KAMA KAWAIDA SEMA WAMEWEKA UNDERGROUND CABLE KWA ENEO LA FLYOVER! nenda kaangalie ujifunze pia
 
UPO KAMA KAWAIDA SEMA WAMEWEKA UNDERGROUND CABLE KWA ENEO LA FLYOVER! nenda kaangalie ujifunze pia
Kaka nimeshapita pale na nimeulizia wanasema wameondoa nguzo zile kwasababu zilikuwa hazitumiki wala hazipitishi umeme. Sasa hizo underground cable za nini?
 
Sasa Swali langu, Kwanini Waondoe Nguzo na Nyaya za Umeme kwa mrardi Mkubwa ulioligharimu Taifa kwa Msaada wa Serikali ya Japan kwa karibu Sh Bilion 34/=⁉
Acha kuishi kwa mazoea
Kupitisha umeme kwa kutumia nguzo mijini wenzetu walishaachana nayo.zamani
zile nguzo zitang'olewa mpaka mawasiliano .kuanzia umeme utapita chini ya ardhi kwa mabomba maalum kwa kazi hiyo mpaka ubungo kwenye kituo cha kupozea umeme
 
Back
Top Bottom