Je, mpira wetu upo salama? Mwenye CV ya Almasi Kasongo

Jana nimemsikiliza huyu sijui ndio mtendaji mkuu wa bodi ya Ligi alivyokuwa anaongelea msimu mpya wa Ligi kuu, ukweli nimepatwa na hofu sana. Anasema wanaendelea kutafuta wadhamini zaidi ya Azam na zimebaki siku chache sana sasa sijui hao wadhamini kwanini hawakutafutwa mapema. Naomba mwenye CV ya huyu ndugu ili tujue mpira wetu upo salama ama.View attachment 1947063
kutafuta si kwa maana ya ligi haina udhamini bali yule title sponsor na nia ya kwanza ni kuleta tija,manufaa na thamani zaidi kwa wavuja jasho na kaa ukijua kuna mchakato unaendelea na makampuni makubwa ila bado hawajafikia conclusion so kama kiongozi hauwezi kusema kila kitu hadi jambo liwe limekamilika,ligi ya mwaka huu kwa udhamini uliopo tu inaweza kuchezwa na timu zisitaabike kama ilivyokuwa awali,mtendaji amezungumzia kumpata title sponsor na atapatikana tu ndugu
 
Wanaendelea Kutafuta Wadhamini zaidi Ya Azam....Tatizo Lipo wapi hapo ?
Utopolo huwa Wanalaumu kila Kitu...! na Wewe Uto?
ndugu ukilitazama jambo kwa matatizo yako binafsi kila mtu utamuona mbaya maana hata mtu akipita anaendesha tu pikipiki yake we unakasirika kisa kwanini ana pikipiki,viongozi wanapigania kuongeza wigo wa udhamini watu wanalalama na wengi wanaolalamika ujue hayo mazungumzo hata hawakukaa kuyasikiliza kiundani mradi tu wana stress zao wameona hapo ndio pakuzimwagia
 
Umejuaje kama alie uliza ni utopolo?

Soka letu ili liwe salama ni lazima liendeshe na watu wenye maarifa makubwa na wenye weledi mkubwa

Hakuna kipindi ambacho TFF ilikuwa salama sana kama kile Leodger chilla Tenga
huyo
Umejuaje kama alie uliza ni utopolo?

Soka letu ili liwe salama ni lazima liendeshe na watu wenye maarifa makubwa na wenye weledi mkubwa

Hakuna kipindi ambacho TFF ilikuwa salama sana kama kile Leodger chilla Tenga
kila nabii na kitabu chake pongezeni na hata hzo nafuu chache za kiudhamini kwa timu zetu kwa wakati huu
 
Kiukweli wadau mmetoa maoni yenu kwa kadri ya upeo na uelewa wenu,kiufupi Almasi Kassongo ni msomi mbobevu amesoma Udsm kwa degree ya kwanza na akajiendeleza kwa Masters nchini Uingereza,katika medani ya mpira yeye ni mdau mkubwa kwani ameuishi mpira tokea akiwa shule ya msingi Ilala akiwa anacheza timu ya shule na pia timu ya mtaani iitwayo African stars ...

Pentagon hotspurs?..ilishiriki ligi hapa Tanzania?..msimbazi Rovers? Tanzania?
 
Hawapelekwi kindugu Mkuu, most of them ni "KITENGO"

Kasongo Almas, Boniface Wambura(siku hizi yuko TFF) na wengine kibao wako hapo kutotana na ajira zao za kificho ma wala sio kwa sababu ya kuwa wanamichezo wazuri
tafuta CV ya Almas kaka na huo ukitengo una mahusiano gani na kuzorota kwa mpira? Jamani kuwa kitengo (kama ni kweli ulisemalo mie sijui) kunakuondolea uwezo wako wa kujua baya na zuri? Tff inajitahd kusaka wadhamini nia ikiwa wavuja jasho kunufaika na jasho lao na km ana kazi ya ziada je inaumizaje taasisi hii?
 
Kiukweli wadau mmetoa maoni yenu kwa kadri ya upeo na uelewa wenu,kiufupi Almasi Kassongo ni msomi mbobevu amesoma Udsm kwa degree ya kwanza na akajiendeleza kwa Masters nchini Uingereza...
Nyie makolo mnakuja humu na povu kutetea vilaza wenu mliowajaza pake TFF na bodi ya ligi! Kwa mtu yeyote smart hawezi kutetea uozo uliopo pale bodi ya ligi, watu walio na mchango kwenye mpira wanafungiwa kwa kanuni za kijinga kabisa, ratiba mbovu za ligi, timu pendwa inabakiza viporo 2 na timu moja, mfano Kolo vs Namungo,

Nawahakikishia hakuna timu itakoyofika makundi ya ligi ya mabingwa msim huu, na wakulaumiwa ni bodi ya ligi kwa kuchelewesha kumaliza msimu kutokana na uzembe wao wa kupanga ratiba mbovu, dunian kote ligi yetu ndiyo iliyochelewa kuisha na kuzipa timu mda mchache kufanya preseason.
 
Pentagon hotspurs?..ilishiriki ligi hapa Tanzania?..msimbazi Rovers? Tanzania?
jipe ziada na nakupa msaada kidogo
Pentagon hotspurs?..ilishiriki ligi hapa Tanzania?..msimbazi Rovers? Tanzania?
juma nyoso alitoka timu gani kwenda simba,Hussein Sued alitoka timu ganikwenda Yanga,Ally Mustapha Barthez alitoka timu gani kwenda Simba,fatilia tu hao kwanza
 
Nyie makolo mnakuja humu na povu kutetea vilaza wenu mliowajaza pake TFF na bodi ya ligi! Kwa mtu yeyote smart hawezi kutetea uozo uliopo pale bodi ya ligi, watu walio na mchango kwenye mpira wanafungiwa kwa kanuni za kijinga kabisa, ratiba mbovu za ligi, timu pendwa inabakiza viporo 2 na timu moja, mfano Kolo vs Namungo...
ligi ya misri imeisha lini? Ndugu timu kufika hatua flani na hizo faini unazoziainisha ni vyema ukajadili ukiwa umetoa mtazamo wa ushabiki wako itakusaidia,mtu anafanya vitendo vya kuuaibisha mchezo achekewe?

Vitendo vya kuashiria ushirikina,kupanga matokeo n.k aachwe? Hakuna anayependa mpira upoteze hadhi na hicho ndio kinawatesa kenya kufumbiana macho leo watu wameususa mpira je unataka na hapa yatokee,yapn madhaifu yao lakini mazuri ni mengi tu
 
tafuta CV ya Almas kaka na huo ukitengo una mahusiano gani na kuzorota kwa mpira? Jamani kuwa kitengo (kama ni kweli ulisemalo mie sijui) kunakuondolea uwezo wako wa kujua baya na zuri? Tff inajitahd kusaka wadhamini nia ikiwa wavuja jasho kunufaika na jasho lao na km ana kazi ya ziada je inaumizaje taasisi hii?
Mkuu nikijua najibu hoja ya mdau aliyesema wanawekana pale kiundugu.

Kiuhalisia kama anaye haribu kwa kuweka watu ambao sio competent basi ni KITENGO
 
Jana nimemsikiliza huyu sijui ndio mtendaji mkuu wa bodi ya Ligi alivyokuwa anaongelea msimu mpya wa Ligi kuu, ukweli nimepatwa na hofu sana.

Anasema wanaendelea kutafuta wadhamini zaidi ya Azam na zimebaki siku chache sana sasa sijui hao wadhamini kwanini hawakutafutwa mapema. Naomba mwenye CV ya huyu ndugu ili tujue mpira wetu upo salama ama.

View attachment 1947063



ALMASI JUMAPILI KASONGO
P. O. Box 2977
Dar es Salaam
Tanzania
Email: almasikasongo@yahoo.com
Mobile: *******
Date of birth: 18th December 197**
Nationality: Tanzan


FOOTBALL CAREER HISTORY
TANZANIA FOOTBALL FEDERATION (TFF)

November 2017 – Present
Finance and Planning Committee – Member
Responsibilities:
§ Monitoring the financial management of Tanzania Football Federation (TFF);
§ Advising the Executive Committee on financial matters and asset management;
§ Analysing of the Tanzania Football Federation (TFF) budget and financial statements;
§ Advising the Executive Committees on commercial related issues/sponsorship;
§ Submission of proposed TFF budget to the Executive Committee for approval; and
§ Analysing of short, medium and long term plans of Tanzania Football Federation (TFF).
TANZANIA PREMIER LEAGUE BOARD (TPLB)
November 2017 – Present
Management Committee – Member
Responsibilities:
§ Managing affairs of Tanzania Premier League Board;
§ To represent Tanzania Premier League Board;
§ Appointment of departmental heads of Tanzania Premier League Board;
§ To apply maximum supervision in all areas of activity of Tanzania Premier League Board;
§ Approving Tanzania Premier League budget proposal for submission to the Governing
Council;
§ Managing and Monitoring Premier League, First Division League and Second Division
League matches;
§ Enforcement of Premier League, First Division League and Second Division League
regulations;
§ Controlling and Monitoring Tanzania Premier League Board finances;
§ Organising of Premier, First Division and Second Division clubs meetings, seminars and
workshops;
§ Promotion and marketing of Premier League, First Division League and Second Division
League; and
§ Developing and promoting of Premier League, First Division League and Second Division
League brands;
TANZANIA FOOTBALL FEDERATION (TFF)
November 2012 – Present
TFF General Assembly – Member
TANZANIA FOOTBALL FEDERATION (TFF)
September 2017 – Present
Tanzania Premier League Awards Committee – Member
DAR ES SALAAM REGION FOOTBALL ASSOCIATION (DRFA)
November 2012 - Present
Chairman
Responsibilities:
§ Representing DRFA in all circumstances and main spokesman of the Association
§ Convening the General Assembly and Executive Committee meetings;
§ Chairing the General Assembly and Executive Committee meetings;
§ Ensuring implementation of the decisions of the General Assembly and of the executive
Committee by the secretariat of DRFA;
§ Supervising the work of the Secretariat to ensure proper and efficient performance;
§ Ensuring the regular and effective function of the organs of DRFA in order to allow it to
achieve the objectives specified in DRFA Strategic Plan and statutes;
§ Appointing two members of Executive Committee;
§ Proposing to the Executive Committee the appointment of members of the Judicial Organs,
Election Committees and Standing Committees; and
§ Maintaining good relations between DRFA, its members, Government, National Sports
Council, Organizations and individual for the betterment of the game.
Achievement:
§ Managed successfully to increase number of Referees in the Dar es Salaam through
various training courses;
§ Managed successfully to increase number of Coachers through various training
§ Managed successfully to increase number of sports medicine doctors and first
AIDERS;
§ Managed successfully to increase number of Premier League, First Division and
Second Division Clubs from Dar es Salaam;
§ Managed successfully to introduce monthly grassroots clinic for youth football
development;
§ Managed successfully to enhance public relations with various stakeholders such as
TFF, Clubs, Government, Companies & Journalists/Media;
§ Managed successfully to introduce U15 & U17 leagues in Dar es Salaam;
§ Managed successfully for DSM to win COPA Coca cola and Airtel Rising Stars in
2013/14;
§ In 2017/2018 managed successfully to promote three clubs out of six (JKT Tanzania,
KMC & African Lyon) to the Tanzania Premier League;
§ In 2018/2019 managed successfully to promote two clubs (PAN Africa & DTB) out of
three to the Second Division League
§ In 2018/2019 top four teams from DSM have qualified for CAF Championship and
Confederation competitions
ILALA DISTRICT FOOTBALL ASSOCIATION (IDFA)
April 2012 – November 2012
Chairman
Responsibilities
§ Representing IDFA in all circumstances and main spokesman of the Association;
§ Convening the General Assembly and Executive Committee meetings;
§ Chairing the General Assembly and Executive Committee meetings;
§ Ensuring implementation of the decisions of the General Assembly and of the executive
Committee by the secretariat of IDFA;
§ Supervising the work of the Secretariat to ensure proper and efficient performance;
§ Ensuring the regular and effective function of the organs of IDFA in order to allow it to
achieve the objectives specified in IDFA Strategic Plan and statutes;
§ Appointing two members of Executive Committee;
§ Proposing to the Executive Committee the appointment of members of the Judicial Organs,
Election Committees and Standing Committees; and
§ Maintaining good relations between IDFA, its members, Government, National Sports
Council, Organizations and individual for the betterment of the game.
ASHANTI UNITED SPORTS CLUB
April 2017 – Present
Chairman
Responsibilities:
§ Representing Ashanti United Sports Club in all circumstances and main spokesman of the
Club;
§ Convening the General Assembly and Executive Committee meetings;
§ Chairing the General Assembly and Board Committee meetings;
§ Ensuring implementation of the decisions of the General Assembly and of the Board
Committee by the secretariat of Ashanti United Sports Club;
§ Supervising the work of the Secretariat to ensure proper and efficient performance;
§ Ensuring the regular and effective function of the organs of Ashanti United Sports Club in
order to allow it to achieve the objectives specified in the statutes;
§ Appointing two members of Board Committee;
§ Proposing to the Executive Committee the appointment of members of the Judicial Organs,
Election Committees and Standing Committees; and
§ Maintaining good relations between members, TFF, DRFA, IDFA, Government, National
Sports Council, Organizations and individual for the betterment of the game.
June 2004 – April 2017
Vice Chairman
Achievement:
§ Managed successfully the promotion of the club to the Tanzania Premier League in
2004/2005 and 2012/2013;
§ Managed successfully the recruitment of talented players of U17 & U20 for youth
development.
MSIMBAZI ROVERS FOOTBALL CLUB (PENTAGON)
October 1999 – June 2004
Chairman
Responsibilities:
§ Representing Msimbazi Rovers Football Club in all circumstances and main spokesman of
the Club;
§ Convening the General Assembly and Executive Committee meetings;
§ Chairing the General Assembly and Executive Committee meetings;
§ Ensuring implementation of the decisions of the General Assembly and of the Executive
Committee by the secretariat of Msimbazi Rovers Football Club;
§ Supervising the work of the Secretariat to ensure proper and efficient performance;
§ Ensuring the regular and effective function of the organs of Msimbazi Rovers Football Club
in order to allow it to achieve the objectives specified in the statutes;
§ Appointing two members of Executive Committee;
§ Proposing to the Executive Committee the appointment of members of the Judicial Organs,
Election Committees and Standing Committees; and
§ Maintaining good relations between members, TFF, DRFA, IDFA, Government, National
Sports Council, Organizations and individual for the betterment of the game.
Achievement:
§ Managed successfully the promotion of the club to the Tanzania Premier League in
2002/2003; and
§ Youngest Chairman of the 2002/2003 Premier League Club.



WORKING CAREER HISTORY
TANZANIA PREMIER LEAGUE BOARD
January 2020 – Present
Chief Executive Officer
The Chief Executive Officer’s primary duties are to facilitate organization and
management of Tanzania Football leagues (Premier League, First Division and
Second Division Leagues).
Other duties and responsibilities include:-
§ Provide significant input into the TPLB strategic plan, then develop and
execute appropriate supporting business plan and reporting regime
(including measurement against agreed goals) to be utilized at the TPLB
Board meetings;
§ Set and manage appropriate performance goals and standards for TPLB
staff, to support the business plan, including developing existing staff, hiring
new staff or terminating existing staff where appropriate;
§ Ensure appropriate controls, policies, reporting and monitoring mechanisms
are in place across all sections of TPLB;
§ Establish strong relationships with all key stakeholders, including
developing and implementing communication strategies both internally and
externally to not only ensure timely flow of relevant information, but to
ensure TPLB’s image and reputation is at all times presented in a consistent
and favorable manner;
§ Build strong relationships with TPLB Board members to ensure optimal
information flow and co-operation;
§ Provide significant input into budgeting process and then ensure efficient
and effective processes are in place to ensure compliance with budget and
timely, relevant financial reporting to the TPLB Board;
§ Develop and implement marketing and business plan to maintain and
increase revenues from existing operations and to develop new business
opportunities;
§ Develop and implement a sponsorship strategy that will enhance existing
sponsorships and attract new sponsors and partners;
§ Actively seek and secure appropriate grants;
§ Prepare Board agendas, collate, prepare and distribute materials, attend
TPLB Board meetings and take minutes;
§ Corresponding and liaising with TFF, TFF member as well as other
stakeholders; and
§ Ensure development of the Tanzania League brands.

NATIONAL HOUSING CORPORATION
October 2011 – Present
Senior Business Analyst
Responsibilities:
§ Preparation of proposals for funding to be submitted in financial institutions/banks for
financing NHC projects;
§ Preparation of Feasibility Studies Analysis for various projects for investment and obtaining
TIC certificates of incentive for NHC projects;
§ Preparation of Corporate strategic plans and Investment Policy;
§ Managing and monitoring loan portfolio as well as NHC Investments;
§ Analysing of financial information to produce forecasts of business, industry and economic
condition for use in making investment decisions;
§ Dealing with business issues and data challenges of an Organization and Industry;
§ Identification of Organization strengths and weaknesses and suggest areas of improvement;
§ Preparation of cash flows projections as well as financial management report of the
organisation (NHC) so as to make sure the Organization is liquid all the time;
§ Creating good relationship with Financial Institutions (CRDB, NMB, TIB, CBA, BancABC,
KCB, Bank M, NBC, Eco Bank and Azania) and other Financial Institutions; and
§ Perform such other related duties as may be assigned from time to time.
NATIONAL SOCIAL SECURITY FUND (NSSF)
Sept 2008 – October 2011
Investment Officer
Responsibilities:
§ Undertake constant assessment and evaluation of capital markets and long-term corporate
and government securities;
§ Ensure that investment activities conform to the Fund’s investment policy;
§ Study and appraise application for loan, equity and joint venture participation from
companies in need of capital for investment;
§ Monitor the performance of the investment portfolio;
§ Make follow up on the Fund’s investment returns;
§ Conduct feasibility studies for all Fund’s proposed project;
§ Preparation of corporate plan, investment policy as well as investment manual;
§ Assess the proposal for purchase of properties offered for sale and recommend their best
utilization; and
§ Perform such other related duties as may be assigned from time to time.
INSPECTION AND CONTROL SERVICES (T) LTD
March 2000 – Feb 2006
Finance and Administration Officer
Responsibilities:
§ Maintaining internal financial control procedures;
§ Managing of financial resources cash, bank and equipments to ensure availability and
effective utilization in implementing programs;

§ Facilitating the functions of office administration, logistics and HR to ensure smooth
operations of the company;
§ Preparing monthly and annual budgets and detailed financial expenditure reports;
§ Provide quality control over finance and administrative document; and
§ Perform such other related duties as may be assigned from time to time.


EDUCATION AND QUALIFICATIONS
MSc. FINANCE AND ACCOUNTING September 2006 – June 2008
London South Bank University
England, United Kingdom
Modules includes: Corporate Management & Strategy, Advanced Investment Analysis, Bank
Lending and Credit Risk, Financial Accounting, Corporate Finance, e. t. c.
Dissertation: The Efficiency of London Stock Exchange
BACHELOR OF COMMERCE (FINANCE) September 1996 – June 1999
University of Dar Es Salaam, Tanzania
Modules includes: Legal Aspects of International Trade, Financial Management and Project
Appraisal, Money and Public Finance, Principles of Accounting, Managerial Accounting, Principles
of Management and Administration, Financial Planning, Budgeting & Control, Marketing
Management e. t. c.


OTHER SKILLS
§ Business Planning and Project Management;
§ Sports Management and Administration;
§ Project Planning and Management;
§ Bank Lending, Credit Appraisal and Investment Analysis;
§ Project Formulation and Feasibility Studies Analysis;
§ Marketing Management;
§ Real Estate Finance and Investment;
§ Mortgage Financing;
§ Public Private Partnership (PPP);
§ IT: ARGUS DEVELOPER & DCF Valuation, MS Excel, MS Power Point, MS Word & MS
Publisher;
§ Customers Care Awareness;
§ Language Fluent: English and Kiswahili; and
§ Driving: Full clean Tanzania driving licence.

ACTIVITIES & INTERESTS
§ Executive Board Member of Nzasa Secondary School – Mbagala, Dar es Salaam;
§ Member of Finance Committee – Tanzania Association in UK (2006 – 2008); and
§ Reading, Learning, Playing and watching footbal














View attachment 1947063
[/QUOTE]
Jana nimemsikiliza huyu sijui ndio mtendaji mkuu wa bodi ya Ligi alivyokuwa anaongelea msimu mpya wa Ligi kuu, ukweli nimepatwa na hofu sana.

Anasema wanaendelea kutafuta wadhamini zaidi ya Azam na zimebaki siku chache sana sasa sijui hao wadhamini kwanini hawakutafutwa mapema. Naomba mwenye CV ya huyu ndugu ili tujue mpira wetu upo salama ama.

View attachment 1947063
 
Jana nimemsikiliza huyu sijui ndio mtendaji mkuu wa bodi ya Ligi alivyokuwa anaongelea msimu mpya wa Ligi kuu, ukweli nimepatwa na hofu sana.

Anasema wanaendelea kutafuta wadhamini zaidi ya Azam na zimebaki siku chache sana sasa sijui hao wadhamini kwanini hawakutafutwa mapema. Naomba mwenye CV ya huyu ndugu ili tujue mpira wetu upo salama ama.

View attachment 1947063
Kwani CV ndo ingeleta wadhamini?
Halafu Kasongo ni mtu mmoja,anafanya kazi ndani ya taasisi iitwayo TFF,wewe unataka atoke na mkewe wakasake mdhamini wa ligi!?

Halafu huu upumbavu wa kudai CV ya mtu ili kulinganisha na Taasisi uuache.
CV yake uipeleke wapi?
Unataka akuoe!?
Au unawashwa unataka akukune?

Acha upumbavu wewe,itazame taasisi na si mtu mmoja.
Mjinga wa mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani CV ndo ingeleta wadhamini?
Halafu Kasongo ni mtu mmoja,anafanya kazi ndani ya taasisi iitwayo TFF,wewe unataka atoke na mkewe wakasake mdhamini wa ligi!?

Halafu huu upumbavu wa kudai CV ya mtu ili kulinganisha na Taasisi uuache.
CV yake uipeleke wapi?
Unataka akuoe!?
Au unawashwa unataka akukune?

Acha upumbavu wewe,itazame taasisi na si mtu mmoja.
Mjinga wa mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
ndugu hawa hawatakiwi kugombana nao we wapige na hilo hilo dai lao,nimemuwekea CV ya kasongo then ajipime je imemtosha?
 
Back
Top Bottom