Je mnaliona tangazo la Chai Bora...?

Mtambuzi

Platinum Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
8,809
Reaction score
15,438

Attachments

  • IMG-20131217-00690.jpg
    310.6 KB · Views: 2,818
  • IMG-20131217-00691.jpg
    288.5 KB · Views: 2,724
  • IMG-20131217-00692.jpg
    248.2 KB · Views: 2,684
Last edited by a moderator:
We na wewe huna macho, ina maana hulioni kabisda hilo hapo mbele yako lipo dhahiri kabisa na bayana mbele ya macho yako....
Mtambuzi huoni lilivyofunikwa mpaka ulitafute na maandishi madogo sana may be nikatafute miwani yangu ya kusomea halafu kama limefanana na ukuta vile ndo maana silioni
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi huoni lilivyofunikwa mpaka ulitafute na maandishi madogo sana may be nikatafute miwani yangu ya kusomea halafu kama limefanana na ukuta vile ndo maana silioni
Kwa kweli naona umekufa macho, hebu tafuta mawani kama haya yakwangu........
 
Kwa kweli naona umekufa macho, hebu tafuta mawani kama haya yakwangu........


Ohhhh sasa nimevaa mawani yangu makubwa ya kusomea naliona barabara sasa naweza kulisoma bila wasi wasi asante sana Mtambuzi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hili tangazo linapatikana mitaa gani?
 
Yeto!
Mbona linaonekana vizuri tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…