Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Sakata la CAG na Spika limenikumbusha hii habari ambayo nayo ilizua ubishani mkubwa ambapo wapinzani walipinga jambo hili huku wale wa chama tawala wakitetea na kudai Spika alikuwa na mamlaka ya kufanya hivyo (kumkabidhi Raisi).
Inawezekana kweli Spika alikuwa na mamlaka ya kufanya alichokifanya.Swali ni je, ripoti ile imefanyiwa kazi gani?
Je, ingeingia Bungeni na kujadiliwa, leo hii Bunge si lingeweza kuwa na walau haki ya kuhoji hatua zilizochukuliwa?
Waacha niishie hapa nisije nikaharibu.
Inawezekana kweli Spika alikuwa na mamlaka ya kufanya alichokifanya.Swali ni je, ripoti ile imefanyiwa kazi gani?
Je, ingeingia Bungeni na kujadiliwa, leo hii Bunge si lingeweza kuwa na walau haki ya kuhoji hatua zilizochukuliwa?
Waacha niishie hapa nisije nikaharibu.