Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,671
- 167,734
Ndio boss hasa hasa kuanzia tarehe 25 hadi 30 mwishoUwa unampa husband face towel ya uvuguvugu?
Ndio boss hasa hasa kuanzia tarehe 25 hadi 30 mwishoUwa unampa husband face towel ya uvuguvugu?
Hahahahaha, ndo mana tukapewa mikono miwili mmoja upokee mwingine utoe.Hizo tarehe lazima mikono yote ifanye kazi.Ndio boss hasa hasa kuanzia tarehe 25 hadi 30 mwisho
"Mahabat" ni pale unapomnunulia vyoote hivyo vizuri naye anamhonga mwingine.Mahabat je?
Hahahaha hatari sana aisee."Mahabat" ni pale unapomnunulia vyoote hivyo vizuri naye anamhonga mwingine.
Sikuhizi mahabat ndio imetawala bongo.
Huwa anakupaga nini kwa mfano?Sasa utaweza kunipa anavyonipa?
Ayiii.... Staki kusema ataibwa nikose utamu bureHuwa anakupaga nini kwa mfano?
Wewe kupata mahaba mapene kwanza acha uboya[emoji23] [emoji23] [emoji108] [emoji126]
The couple in a tub, damn! That coulda been somebody and I, if she hadn't stopped hitting the "like" button. Does it get any better?
Unisamehe nilitoweka ghafla jana nilipata dharura ya "kazi ya nje", basi nikaenda kuifanya ndio nimerejea asubuhi hiiuchokozi ndo nilitunukiwaga digrii ya makwenzi toka nipo praimare!
sitakuwepo aseeee nilitamani at last!ila sipo dar! na sitaweza hata kuchomoka kazi za watu!
tugawane hako kasalio ka paye!
ila unafikir mi naamini sana basi!
ah magu nae kwani unafkr hashindwi kubadili gia angani!