Je, Mnajua tofauti ya mapenzi na mahaba?

Je, Mnajua tofauti ya mapenzi na mahaba?

Dah Mpwa hii picha imenirejesha mbali sana sana, dah daha kwanini nilifungua huu uzi saa hizi?? Dah haya tutaonana tarehe 29 Mungu akipenda
Mahaba ni ku add value kwa mwenzi wako.



Kwa mfano wakati wanaume wanapenda kudekezwa kwa kufanyiwa vitu vidogo vidogo kama vile kuandaliwa nguo za kwendea kazini na chai kuwa tayari mapema na vitafunwa maridhawa. Wakirudi kazini wanapokelewa kama wana kijimzigo kwa bashasha, kusaidiwa kuvua nguo, kupewa face towel ya uvuguvugu kujikanda uso ili kuondoa vijikunyanzi vya stress za kazini na kuleta tabasamu. Kuandaliwa maji ya kuoga ya vuguvugu na baada ya kuoga kuandaliwa sharubati ya matunda au chai au kahawa kutegemea mapenzi yake, kuwekewa vijikaranga vya kutafuna au popcorn wakati anapoangalia TV, hivi vyote ni vikorombwezo vya mahaba.
 
haka kapicha ka kwenye mapovu kamenifanya nimuhabakie mtu ghafla tu!
we mzeee acha mambo yako!
ila nimekumithiiiiiii!
 
haka kapicha ka kwenye mapovu kamenifanya nimuhabakie mtu ghafla tu!
we mzeee acha mambo yako!
ila nimekumithiiiiiii!
snowhite leo nimekutoa pangoni, nimejikuta na upweke wa ajabu baada ya kutowaona wakongwe jukwaani, naamini huu uzi wa mahaba utawaibuwa huko walipo
 
snowhite leo nimekutoa pangoni, nimejikuta na upweke wa ajabu baada ya kutowaona wakongwe jukwaani, naamini huu uzi wa mahaba utawaibuwa huko walipo
enh babu a uwe unatuletea vitu kama hivi angalau urudishe na kale kastyle ka kutuita kwa baragumu!
unafkr hatupiti tunapita sana ila dah!
sredi zinatutupa mkono!
 
Hahahahahaaha acha uchokozi bana, utakuepo keshokutwa?? Lazima niwepo maana najua ndio salary ya kwanza ya Magu yenye punguzo la PAYE
uchokozi ndo nilitunukiwaga digrii ya makwenzi toka nipo praimare!
sitakuwepo aseeee nilitamani at last!ila sipo dar! na sitaweza hata kuchomoka kazi za watu!
tugawane hako kasalio ka paye!
ila unafikir mi naamini sana basi!
ah magu nae kwani unafkr hashindwi kubadili gia angani!
 
Back
Top Bottom