Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,139
Mtambuzi umejieleza jinsi ulivyo aisee........lol ngoja he wengine waje.....:coffee:
ndio nimekuja sasa....
mkuu Mtambuzi acha kunisema hadharani bana ile tabia yangu ya kutongoza na kuacha bila kutafuna nilishaiacha
NB Unaweza kutongoza mwanamke akakuzungushaa mapaka anakuja kukubali ushakata tamaa na apitite ishatoka na ratiba zishabadilika sasa unapomtosa ndio unaonekana kuwa ulikuwa unajionyesha kuwa unajua kutongoza kumbe vibweka vya hawa dada zetu