Boramaisha
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 820
- 18
Wakuu,
Tulitangaziwa ongezeko la mishahara ya wafanyakazi. Lakini habari zilizopo ni kwamba mishahara hiyo mipya wala haijaanza kulipwa na wafanyakazi hawajaambiwa ni lini itaanza kulipwa. Je, huo ni muendelezo wa usanii wa Serikali na CCM yenyewe?
Tulitangaziwa ongezeko la mishahara ya wafanyakazi. Lakini habari zilizopo ni kwamba mishahara hiyo mipya wala haijaanza kulipwa na wafanyakazi hawajaambiwa ni lini itaanza kulipwa. Je, huo ni muendelezo wa usanii wa Serikali na CCM yenyewe?