Je mimi ni mzembe sana?

Je mimi ni mzembe sana?

Shobi

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2015
Posts
3,401
Reaction score
4,371
mambo vip wakuu!

nimekumbuka kisa kilichoniumiza sana..

miaka iliyopita nilifaulu kupata kazi kwenye shirika la umma lakini ilikuwa mkataba.baada ya mkataba niliendelea kusaka ajira hapa na pale sasa nilifaulu kuingia practical moja maswali yalikuwa vizuri kabisa ila computers nilikuwa natumia ilikuwa na shida hivyo nikafeli hapo nakumbuka walifaulu wawili tu wiki hiyo hiyo kuna sehema nikawa nasubiria usajili na connection ilikuwepo sasa mapema nilienda mkumbusha mdau wa connection kwamba majina vipi akaniambia kuna mradi wapo busy nao nikaona sawa

Kumbe siku mbili mbele wakatoa majina lakin sikuchek maana nilipata ambiwa kuwa wako busy na mradi ilipita wiki moja nashtuka ngoja nicheki kwa google naona niliitwa interview na waliofauluwameitwa kazini daah niliumia sana mawazo yangu ilikuwa either wangetupigia simu au ujumbe mfupi nkampigia jamaa wa connection anasema mbona sikufatilia na yeye alikuwa busy hatari na ni kweli huwa yupo busy ilinuuma sana kila nikikumbuka isitoshe hali yangu ilikuwa imeyumba mno nilikuwa silali kabisa kila nikikumbuka matukio hayo tena ndani ya mwezi mmoja.

huwa naona nilikuwa mzembe sana nakujilaumu sana sana
 
mkuu niliona kama jamaa aliambia vile nisimsumbue niwe mpole
Ht mm yashawahi kunitokea hayo, mbaya zaidi ni niliyekuwa namtegemea kwenye connection sina undugu nae hvy nilikuwa siwezi kumkumbushia kila muda ila mwisho wa siku connection ikawa disconnection sasa cjui alinipotezea hakunihangaikia au vp.
Ila ndo hvy inabidi uwe mpole tuu
 
Awamu Hii Tutanena Kwa Lugha
Tukishukuru kwa vitendo si kwakuwa tunapenda bali hakuna namna. Ukisema hii ni 0 ( sifuri) haya ukisema O ni oooh haya.
Uwe umehitimu chuo, uwe umemaliza la saba felia muhimu ni unapata shilingi ngapi baada ya siku kuisha????😂😂😂😂 ndie anaeheshimika
 
Tukishukuru kwa vitendo si kwakuwa tunapenda bali hakuna namna. Ukisema hii ni 0 ( sifuri) haya ukisema O ni oooh haya.
Uwe umehitimu chuo, uwe umemaliza la saba felia muhimu ni unapata shilingi ngapi baada ya siku kuisha????😂😂😂😂 ndie anaeheshimika
Nakuelewa Sana!!
Tumekubali Yote, Hata Tukikataa Tumchague Nani Tena. 😶😐🤨😏😏😏
 
Back
Top Bottom