kibenten
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 499
- 510
habarini wapendwa;
shemeji/wifi yenu alipata ujauzito lakini kwa ushauri wa madaktar wakatuambia tuitoe hiyo mimba maana mwez ulopita alifanyiwa operation kweny ovary hivyo kidonda hakijapona kwa ndani,,sasa mimba ilikuwa na mwezi mmoja tukanunua zile dawa za kuitwa sijui MESO......., tulifata ushauri wote wa namna ya kutumia hiyo dawa,ila sasa damu imetoka siku mbili tu ikakatika ikawa haitoki tena ila tumbo linauma tu,sa sijui shida nini na najiuliza je itakuwa ilitoka au bado???
wenye ujuvi naombeni msaada wenu.
shemeji/wifi yenu alipata ujauzito lakini kwa ushauri wa madaktar wakatuambia tuitoe hiyo mimba maana mwez ulopita alifanyiwa operation kweny ovary hivyo kidonda hakijapona kwa ndani,,sasa mimba ilikuwa na mwezi mmoja tukanunua zile dawa za kuitwa sijui MESO......., tulifata ushauri wote wa namna ya kutumia hiyo dawa,ila sasa damu imetoka siku mbili tu ikakatika ikawa haitoki tena ila tumbo linauma tu,sa sijui shida nini na najiuliza je itakuwa ilitoka au bado???
wenye ujuvi naombeni msaada wenu.
