Je, Mfumo wa IDRSA na Website ya TRA havipo hewani?

Je, Mfumo wa IDRSA na Website ya TRA havipo hewani?

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,354
Reaction score
4,621
TRA Tanzania Kuna nini?Tovuti yenu pamoja na mfumo wa IDRSA haufikiki.Vp Shida ni nini?
Screenshot 2026-04-29 030325.jpg
 
Uwekezaji mdogo kwenye miundombinu ya network na system, waachane vendors uchwara. Nashauri system za malipo,ukusanyaji Kodi na customs systems wawape tenda wakongwe ulimwenguni kama Oracle ya Marekani wale wata deliver integrated systems zisizokuwa na glitches. Tra wawekeze haswaa.
 
Uwekezaji mdogo kwenye miundombinu ya network na system, waachane vendors uchwara. Nashauri system za malipo,ukusanyaji Kodi na customs systems wawape tenda wakongwe ulimwenguni kama Oracle ya Marekani wale wata deliver integrated systems zisizokuwa na glitches. Tra wawekeze haswaa.
Shusha Windows virus wanakula mafaili
 
ubongokid Umewasha VPN mkuu?
Tovuti nyingi za serikali zina VPN blocker. Siku hizi usipozima mara moja page haifunguki.
Wanajiona wajanja hao..
 
Naona leo iko sawa.Sasa sijajua uchawi ni nini?
 
Back
Top Bottom