Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,708
- 8,746
Hii meli ilipark pale bandari ya Mwanza kusini (Mwanza South Port) kwa miaka mingi.
Hivi karibu kwenye utawala wa Magufuli meli hii imekarabatiwa kwa kupakwa rangi na kutengenezwa baadhi ya sehemu, inasemekana hadi Injini ilibadilishwa.
Hivi majuzi kuna jamaa yangu wa karibu alisafiri na hii meli kwenda Bukoba, kwa kweli kwa maelekezo yake hii meli ni Kimeo, ilizimika Mara kadhaa njiani wakati Mvua inanyesha na baadhi ya maeneo kupitisha maji.
Siku kadhaa nyuma meli ilizima tena ikabidi watu wafaulishwe kwenye maboti.
Meli imekaribia bandari ya kemondo ikazima tena.
Sasa muhimu kuchukua tahadhali mapema ili kuepusha majanga.
Serikali isipende sifa kwamba imetengeneza meli kumbe meli yenyewe mtego tu wa kuua watu.
Source: abiria wa kwenda Bk
Hivi karibu kwenye utawala wa Magufuli meli hii imekarabatiwa kwa kupakwa rangi na kutengenezwa baadhi ya sehemu, inasemekana hadi Injini ilibadilishwa.
Hivi majuzi kuna jamaa yangu wa karibu alisafiri na hii meli kwenda Bukoba, kwa kweli kwa maelekezo yake hii meli ni Kimeo, ilizimika Mara kadhaa njiani wakati Mvua inanyesha na baadhi ya maeneo kupitisha maji.
Siku kadhaa nyuma meli ilizima tena ikabidi watu wafaulishwe kwenye maboti.
Meli imekaribia bandari ya kemondo ikazima tena.
Sasa muhimu kuchukua tahadhali mapema ili kuepusha majanga.
Serikali isipende sifa kwamba imetengeneza meli kumbe meli yenyewe mtego tu wa kuua watu.
Source: abiria wa kwenda Bk