Je Mbuga ya Burigi Chato ina umuhimu wowote au ni Mbwembwe tu?

ubongokid

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
2,030
3,908
Nianze kwa kusema kwamba andiko hili halilengi kuunga au kupinga uwepo wa mbuga ila linataka kuibua mjadala wa kimkakati kuhusu ulazima au umuhimu wa kuwepo kwa mbuga hii.

Binafsi nafikiri serikali ingepaswa kuwekeza rasilimali muda na rasilimali pesa katika kuboresha mbuga zilizopo,kuzitangaza na kuweka mazingira mazuri kwa wageni na wenyeji kuzitembelea badala ya kuhangaika kupeleka wanyama kule.

Serikali inagalie namna ya kushusha gharama za kodi kwenye biashara ya utalii hasa direct taxes kwani zinaumiza sana biashara ya utalii kwa sasa.

Viwango vya kodi vimefanya kuwe na ukame wa watalii hasa ukizingatia kwamba baadhi ya kodi hazina maana yoyte ile katika sekta husika.

Niwasahuri wanasiasa waangalie hili eneo la kodi kwani sekta ya utalii inaajiri vijana wengi sana na ikidorora basi ujue kwamba na uchumi unadorora na maisha yanazidi kubana

Je unafikiri viwango vya kodi kwenye sekta ya utalii ni rafiki kwa kukuza utalii na kukuzamapato ya serikali?
 
Waziri wa Afya Ummy Mwl alisema wanajenga hosp. Kubwa kabisa hapo Chato,sababu wamegundua Chato ni mji ulio katikati ya kanda ya Ziwa.

dodge
 
Waziri wa Afya Ummy Mwl alisema wanajenga hosp. Kubwa kabisa hapo Chato,sababu wamegundua Chato ni mji ulio katikati ya kanda ya Ziwa.

dodge
Mbona watagundua mengi sana.
Hivi hajagundua ipo katikati ya Tanzania?
 
Wanasema wanyama wanatoroshwa strategically hakuna kuwapandisha tena ndege

Sent using Jamii Forums mobile app

Aisee kumbe
Yaani hapa sijui nawaza nini nashindwa hata kutafakari
Takwimu tutazijua siku moja kama walizaliana wangapi na walitoroka wangapi na walioliwa wangapi
Lakini ujue satellites zipo


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hili swala hili linahitaji mjadala mpana,kwa nini wanyama wakimbilie nchi jirani? na wahusika wanazidi kuwasomba wengine waendelee kukumbilia huko?

Kuna hifadhi ya taifa pia Jirani inaitwa Park National de l’ Akagera na mito mingi ikimwagika kila kona naona ni karibu kwa wanyama kukimbilia huko ila kama kuna sababu zingine mmh



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hao simba kitoweo chao ni wanachato
Nianze kwa kusema kwamba andiko hili halilengi kuunga au kupinga uwepo wa mbuga ila linataka kuibua mjadala wa kimkakati kuhusu ulazima au umuhimu wa kuwepo kwa mbuga hii.

Binafsi nafikiri serikali ingepaswa kuwekeza rasilimali muda na rasilimali pesa katika kuboresha mbuga zilizopo,kuzitangaza na kuweka mazingira mazuri kwa wageni na wenyeji kuzitembelea badala ya kuhangaika kupeleka wanyama kule.

Serikali inagalie namna ya kushusha gharama za kodi kwenye biashara ya utalii hasa direct taxes kwani zinaumiza sana biashara ya utalii kwa sasa.

Viwango vya kodi vimefanya kuwe na ukame wa watalii hasa ukizingatia kwamba baadhi ya kodi hazina maana yoyte ile katika sekta husika.

Niwasahuri wanasiasa waangalie hili eneo la kodi kwani sekta ya utalii inaajiri vijana wengi sana na ikidorora basi ujue kwamba na uchumi unadorora na maisha yanazidi kubana

Je unafikiri viwango vya kodi kwenye sekta ya utalii ni rafiki kwa kukuza utalii na kukuzamapato ya serikali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nianze kwa kusema kwamba andiko hili halilengi kuunga au kupinga uwepo wa mbuga ila linataka kuibua mjadala wa kimkakati kuhusu ulazima au umuhimu wa kuwepo kwa mbuga hii.

Binafsi nafikiri serikali ingepaswa kuwekeza rasilimali muda na rasilimali pesa katika kuboresha mbuga zilizopo,kuzitangaza na kuweka mazingira mazuri kwa wageni na wenyeji kuzitembelea badala ya kuhangaika kupeleka wanyama kule.

Serikali inagalie namna ya kushusha gharama za kodi kwenye biashara ya utalii hasa direct taxes kwani zinaumiza sana biashara ya utalii kwa sasa.

Viwango vya kodi vimefanya kuwe na ukame wa watalii hasa ukizingatia kwamba baadhi ya kodi hazina maana yoyte ile katika sekta husika.

Niwasahuri wanasiasa waangalie hili eneo la kodi kwani sekta ya utalii inaajiri vijana wengi sana na ikidorora basi ujue kwamba na uchumi unadorora na maisha yanazidi kubana

Je unafikiri viwango vya kodi kwenye sekta ya utalii ni rafiki kwa kukuza utalii na kukuzamapato ya serikali?
Sasa bila kuanzisha mbuga hizo ule uwanja wa ndege wa chattle utalalamikiwa sana kwamba hakuna sababu nzuri ya kujenga uwanja wa kimataifa pale.
 
Utemi haunaga kanuni brasa!! Mtemi anafanya atakavyo..nakumbuka primary jamaa ilikuwa kila siku umletee hindi la kuchoma..so kila siku ana mahindi karibia 40; kula hawezi yaani utemi tu. Na ole wako usimletee!
 
Nianze kwa kusema kwamba andiko hili halilengi kuunga au kupinga uwepo wa mbuga ila linataka kuibua mjadala wa kimkakati kuhusu ulazima au umuhimu wa kuwepo kwa mbuga hii.

Binafsi nafikiri serikali ingepaswa kuwekeza rasilimali muda na rasilimali pesa katika kuboresha mbuga zilizopo,kuzitangaza na kuweka mazingira mazuri kwa wageni na wenyeji kuzitembelea badala ya kuhangaika kupeleka wanyama kule.

Serikali inagalie namna ya kushusha gharama za kodi kwenye biashara ya utalii hasa direct taxes kwani zinaumiza sana biashara ya utalii kwa sasa.

Viwango vya kodi vimefanya kuwe na ukame wa watalii hasa ukizingatia kwamba baadhi ya kodi hazina maana yoyte ile katika sekta husika.

Niwasahuri wanasiasa waangalie hili eneo la kodi kwani sekta ya utalii inaajiri vijana wengi sana na ikidorora basi ujue kwamba na uchumi unadorora na maisha yanazidi kubana

Je unafikiri viwango vya kodi kwenye sekta ya utalii ni rafiki kwa kukuza utalii na kukuzamapato ya serikali?
Tumikia kafikiri upate mradi wako


Wanafanya kufurahisha bwana wao hawajali kitu ili mradi wao wananufaika maisha yao yanasonga
 
Sishabikii Burigi baada ya kuongezwa neno CHATO ila kutangaza mbuga zingine pia kwa sababu tukiachia hizi tulizozozoea tutaelemewa na kusababisha uchafuzi wa mazingira kama ilivyotokea kwa jirani zetu Kenya. Yaani inafika wakati magari ya watalii yanakuwa mengi kuliko wanyama Hadi wanyama wanaona wameingiliwa wanajificha.
 
Tuna kiongozi wa ajabua sana anafanya mambo kwa kukurupuka kama mwendamahoka utahamishaje wanyama kwa jirani yako eti kisa anakupa mbinu za kuwaua na kuwapoteza wapinzani wako
 
kwa nini burigi chato pekee umeona ndo iwe mfano wa ku cite with? Kuna mbuga sita recently zimeanzishwa na hiyo Burigi-Chato ikiwemo. Mimi nadhani 'taito' ya huu uzi wako ingekuwa hivi 'UPI UMUHIMU WA HIZI MBUGA 6 MPYA AU NI MBWEMBWE TU'. Tukiachana na siasa na misukumo yake haya maeneo yote yanayopewa hadhi ya Uhifadhi wa taifa yana faida tukitazama kiikolojia au kiuchumi.
 
Back
Top Bottom