ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,030
- 3,908
Nianze kwa kusema kwamba andiko hili halilengi kuunga au kupinga uwepo wa mbuga ila linataka kuibua mjadala wa kimkakati kuhusu ulazima au umuhimu wa kuwepo kwa mbuga hii.
Binafsi nafikiri serikali ingepaswa kuwekeza rasilimali muda na rasilimali pesa katika kuboresha mbuga zilizopo,kuzitangaza na kuweka mazingira mazuri kwa wageni na wenyeji kuzitembelea badala ya kuhangaika kupeleka wanyama kule.
Serikali inagalie namna ya kushusha gharama za kodi kwenye biashara ya utalii hasa direct taxes kwani zinaumiza sana biashara ya utalii kwa sasa.
Viwango vya kodi vimefanya kuwe na ukame wa watalii hasa ukizingatia kwamba baadhi ya kodi hazina maana yoyte ile katika sekta husika.
Niwasahuri wanasiasa waangalie hili eneo la kodi kwani sekta ya utalii inaajiri vijana wengi sana na ikidorora basi ujue kwamba na uchumi unadorora na maisha yanazidi kubana
Je unafikiri viwango vya kodi kwenye sekta ya utalii ni rafiki kwa kukuza utalii na kukuzamapato ya serikali?
Binafsi nafikiri serikali ingepaswa kuwekeza rasilimali muda na rasilimali pesa katika kuboresha mbuga zilizopo,kuzitangaza na kuweka mazingira mazuri kwa wageni na wenyeji kuzitembelea badala ya kuhangaika kupeleka wanyama kule.
Serikali inagalie namna ya kushusha gharama za kodi kwenye biashara ya utalii hasa direct taxes kwani zinaumiza sana biashara ya utalii kwa sasa.
Viwango vya kodi vimefanya kuwe na ukame wa watalii hasa ukizingatia kwamba baadhi ya kodi hazina maana yoyte ile katika sekta husika.
Niwasahuri wanasiasa waangalie hili eneo la kodi kwani sekta ya utalii inaajiri vijana wengi sana na ikidorora basi ujue kwamba na uchumi unadorora na maisha yanazidi kubana
Je unafikiri viwango vya kodi kwenye sekta ya utalii ni rafiki kwa kukuza utalii na kukuzamapato ya serikali?