Je mayai na kuku wa kizungu wanafaa Kwa familia ulaji w mara Kwa mara? Au ni ya kubutudikia Kwa wauza chipsi na nyama magengeni

Je mayai na kuku wa kizungu wanafaa Kwa familia ulaji w mara Kwa mara? Au ni ya kubutudikia Kwa wauza chipsi na nyama magengeni

OgaBoy

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
3,173
Reaction score
4,488
Je yanafaa kama lishe yenye virutubusho Bora? Na kama hayafai kwanini na inakuwaje yapo sokoni.

Nimebeba kuku WA kizungu na WA kienyeji kwakweli naona WA kienyeji anakosa ujazo na uzito alafu ni GHALI KULIKO huyu WA kizungu Sasa Niko njiani panda usiku huu , nahitaji kufanya maamuzi
 
Hayo ni mayai fake
Kutoka Kwa kuku fake

Nadhani unajua madhara ya kula bidhaa fake/ copy
 
Ukiacha Antibiotics kama zilitumiwa kuku akiwa ana Taga, Hayo mayai hayana shida.

Mbaya zaidi, shida ya madawa iko kila sehemu kuanzia Mahindi, Maziwa, Mboga mboga n.k.
 
Kama huyapendi tafuta source ya protein na vitamin nyingine ,bone sources ziko nyingi sana tena kwa gharama nafuu
 
Kiasi kikubwa cha madawa kinabaki kwenye nyama ya kuku kuliko kwenye mayai
Mayai yana kiasi kadhaa cha madawa lakini ni kidogo mno
Hata ladha mayai ya kienyeji na ya kisasa hakuna tofauti. Ila kwa nyama tofauti ni kubwa
All I'm saying is Mayai ya kisasa sio mabaya
 
Hayo ni mayai fake
Kutoka Kwa kuku fake

Nadhani unajua madhara ya kula bidhaa fake/ copy
Inawezekana umechukua stori za watu vijiweni na kubakia na mtazamo huo ila kwa hakika hauna Elimu ya kutosha kuhusiana na mayai hayo ndio maana hata kudadavua kitaalamu unashindwa.
 
Mayai ya kisasa kama yalivyo maziwa ya ng'ombe wa kisasa hayana shida kabisa,kikubwa ni kuzingatia matumizi sahihi ya madawa hasa muda rufani(withdrawal period) basi, otherwise nutrition content ni sawa kabisa,tena wakati mwingine haya ya kisasa yanaweza kuwa salama sana kuliko ya kienyeji kwasababu kuku wa kisasa anatibiwa vizuri hivyo sio rahisi kupitisha magonjwa kupitia kiini cha yai(egg York) ambayo yanaweza muathiri binadamu.
 
Back
Top Bottom