Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,257
- 150,577
Hayo mambo ya wanajeshi tulishawaambia tangu awali kabisa wanajeshi wa Tanzania si watu wa kuwategema.Je Mange Kimambi katuingiza mjini? Aliapa hakutokuwa na uraisi wa Samia ila almost mwaka sasa; hao wanajeshi alisema watasimama na sisi ila wakaruhusu tuuliwe kama mbwa
Alisema akina Tesha cjui na wanajeshi wengine wapo kw mafunzo kutuokoa. Na sioni matunda yoyote yeye kujipendekeza kwa Trump kwani Trump hajali na anawasihi watu waandamane tena wakati anajua Dunia yote hawajali watu weusi kuua watu weusi na hii serikali kila mtu ameona.
Je mnaamini Mange Katuingiza mjini au?
Wengi hamkutaka kusikia.
Mmetaka kudanganywa wenyewe uongo mlioupenda.
Na hii haina maana kuwa napinga jitihada za kuuondoa utawala dhalimu wa sasa.
Ila penye mipango ya ndoto zaidi ya uhalisia nitasema tu.