kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Tunaambiwa kuwa kila binadamu ana malaika wake ambaye anamlinda lakini ninachoshangaa ni kuwa watu wanarogwa watu wanasumbuliwa na Majini na aina nyingine ya matatizo kwani kipindi Majini na wanadamu wanapokuwa wanamtendea mwanadamu mwingine mabaya kwenye roho wale Malaika wetu walinzi wanaendaga wapi?