Nimewaza sana sana nakuona kweli kazi tunayo kama taifa na wateule wa Rais.
Nilikuwa nasoma heria ya ndoa ,sheria ya mirath na Ya ubakaji 2002.
Kiukwe kama kweli hawa wanasheria wa Makonda wanlisoma vizuri basi kila kitu kimewekwa wazi hakuna mahali Mh makonda anweza sema analeta kitu kipya sheria imeweka wazi kila kitu.
Mfano sio kweli sheria hijasema kumdanganya mwanamke ni kosa lajinai tena inasema nisawa na ubakaji sasa shida ipo wapi? Tunarud pale pale badala yakutafuta sifa na kudandia magari kwa mbele tuwafundishe wananchi kuijuwa sheria nakutumia haki zao pata support.
Sheria na marekebisho yake hayana jambo jipya ila kutafuta kuonekana pamoja na kuingilia muimili mwingine.
Muda utawaambia
Nilikuwa nasoma heria ya ndoa ,sheria ya mirath na Ya ubakaji 2002.
Kiukwe kama kweli hawa wanasheria wa Makonda wanlisoma vizuri basi kila kitu kimewekwa wazi hakuna mahali Mh makonda anweza sema analeta kitu kipya sheria imeweka wazi kila kitu.
Mfano sio kweli sheria hijasema kumdanganya mwanamke ni kosa lajinai tena inasema nisawa na ubakaji sasa shida ipo wapi? Tunarud pale pale badala yakutafuta sifa na kudandia magari kwa mbele tuwafundishe wananchi kuijuwa sheria nakutumia haki zao pata support.
Sheria na marekebisho yake hayana jambo jipya ila kutafuta kuonekana pamoja na kuingilia muimili mwingine.
Muda utawaambia