nimekuwa nikisoma mara nyingi sana kwamba ofisi kama TRA wamejazana wachaga,TBC wanyakyusa etc.sasa nawauliza wandugu mnajua sehemu kubwa ya judiciary imeshikwa na wahaya?Robo tatu ya maicharge wa wilaya ni wahaya wengine hata hajakaa kazini miaka mitatu wanapewa vyeo tena vikubwa,nawakilisha