Hvi unajua capacity gap ya walimu wa sayansi kwa Tanzania ni ngapi?? Mliambiwa kwa intake zenu hizo ingechukua miaka zaidi ya 15 kuziba gap la sasa ingawa kumbuka by the time 15 years zinamalizika mahitaji yatakuwa yameongezeka zaidi maana watoto wanaoandikishwa darasa la kwanza wanaongezeka kila mwaka by percentage ssa lini hilo tatizo litaisha......mkaanzisha program kusaidia kwenye disaster management ya ukosefu wa walimu magufuli akawaita vilaza na kuwatimua then mnakalia madawati madawati!!!!!Walimu wengi sana mpaka kuna ziada. Ni walimu wa Sayansi na Hisabati ndio tunawaandaa.
Nyumbu ni mnyama Wa ajabu hanaga ushilikiano hata kidogo mwenzake anatafunwa yeye anashangaa tu.lakin siku 1 nilishangaa pale nyumbu alivyo mpiga simba kichwa wild Chanel kumuokoa ndama wake.This can happen 2020 Manyumbu yanaweza kubadilika kuokoa ndama wake vilio vimekuwa vingi sanaAtafikisha na pengine atavunja rekodi. Watanzania si wakuambiwa ndio watende. Sasa sisonje kaminya demokrasia yeye tu ndio anaongea wengine wamenyamazishwa unafikiri kwa manyumbu nini kitatokea.
Toa hizo pia na kwa Lowasaatakayopata chukua ile ambayo aliipata minus 25% simply
58-25=33% halafu kitakachofuata predict
Magufuli atapata 71% mwaka 2020
ShenziiiiNa Akimaliza kumi tumuongezee mingine. Asije akaja mtu mwenye style za Kikwete ama Mkapa aka turudisha nyuma
Bangi za utotoni!Uchaguzi ukiopita hakupata hata 35% itakuwa 2020?
Bangi anavuta mamako ndio maana akapata mimba yako kilabuni kwenye mataputapuBangi za utotoni!
Wewe alipatia kwenye madanguro!Bangi anavuta mamako ndio maana akapata mimba yako kilabuni kwenye mataputapu
Unaonyesha jinsi gani usivyo na adabu.Bangi anavuta mamako ndio maana akapata mimba yako kilabuni kwenye mataputapu
Lowassa agombee 2020? Kwa Chama kipi? ACT Wazalendo?Toa hizo pia na kwa Lowasa
Kwani si amenunua chama chake?L
Lowassa agombee 2020? Kwa Chama kipi? ACT Wazalendo?