Acha kujichosha kijana.
2020 Kura za Urais za Magufuli zitaongezeka Sana. Wengi tunaelewa dhamira yake ya dhati ya kusaidia wananchi, hasa wa chini.
Nyinyi Endeleeni kulalama na kujifarji.
Subirini mpaka 2025, over.
eti kayakuta mauza uza sasa sera ya elimu bure na madudu yake ililetwa na kikwete?? kusema tununue madawati huku walimu hamna wala vitabu wala maabara ililetwa na kikwete pia??? mkuu kma huna hoja ni heri mkae kimya tu mnajidhalilisha sana kila mnapotaka kutetea kila kitu tena pasi hoja!!! nmewadharau sana wanaccm humu JF ur such empty tins eti "utaisoma namba" bullsh**t !!! mie nmesoma nje tokea o level ssa nasomaje namba kwenye elimu???
Mjirekebishe watetezi mnakera sana kila anayekosoa eti mpiga dili sijui atasoma namba sijui muuza unga!! aaaaarggghh
Wakuu nimeamua kuwauliza swali kama mkuu wetu wa nchi kama atafikisha hata asilimia 45% katika uchaguzi wa mwaka 2020.
Kwasababu nikianza kuangalia pande zote za nchi kuna vilio tupu. Wafanyakazi wanalia, Bukoba wanalia kwa kudhulimiwa hela za maafa, wabuge wanalia bila shaka mlijionea wenyewe juzi JK alipotua bugeni, wananchi wanakufa kwa njaa serikali haina shamba, wafanyabiashara wanalia, bashite kulelewa.
Hayo ni baadhi ya mambo machache ambayo mimi binafsi nitaendelea kutoichagua CCM maishani mwangu. CCM lazima tuipige chini 2020
haya nijibj mmi hizi hoja maana unasema hakuna hoja
1.mikopo
2 thamani ya shilingi
3.mzunguko wa pesa
4. Kushuka kwa biashara na uwekezaji
5.Elimu kuporomoka (rejea matokeo ya form 4)
6. Viwanda??
7. Bajeti hewa??
8. Mahakama ya mafisadi imemfunga nani
9. Madawa ya kulevya nani kati ya wale mapapa waliotajwa kadhibitiwa??
10. Huduma za afya hasa vijijini average ya kituo cha afya kimoja ni baada ya kilometre 60 hapa tanzania je hapo vp
11. Umaskini (IMF inasena dollar 2 kwa siku tatu)
Niendeleee....... hizo ni zangu tu bado za wanasiasa,walimu,wafanyakazi na kero ya 15% heslb,bado waendesha malori, mkuuu kazi ipo 2020 ??
Embu tuanzie hapo kwanza
Mkuu jibu basi hizo hoja!! eti za kitoto haya niambie hizo za kiutu uzima basi hapa maana unakalia IMF huku hutoi specifc data tuzichambue hapa nikuonyeshe mlivyo waongo!!!Ni maswali ya kitoto yatajibiwa na watoto wenzio."Baba mbona hujaleta mkate umeleta mhogo" ndiyo mfano wake.Tembelea vijijini upime kushindwa kwa huduma za kijamii.Mvua isiponyesha pia unategemea wenye akili timamu wahoji mbona bei ya vyakula imepanda?
IMF taarifa za uchambuzi wao wa miaka 5 iliyopita unatarajia mabadiliko yake yatokee ndai ya mwaka mmoja.Pole.2020 mtaishiwa maswali.
Rais Magufuli anaauwezekano mkubwa katika uchaguzi mkuu wa 2020 akapata kati ya asilimia 70 na 80. Wakati wa uchaguzi wa mwaka 2015 kiu kikubwa cha watanzania ilikuwa ni mabadiliko na Rais Magufuli bila kujali kupoteza umaarufu wa chama chake ameamua kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya serikali na ndani ya chama tawala. Kiongozi yeyote ambaye analeta mabadiliko huwa umaarufu wake hushuka sana lakini baada ya muda fulani umaarufu wake hupanda kwa kasi. Tuangalie jinsi ya utendaji wa Rais Magufuli :Wakuu nimeamua kuwauliza swali kama mkuu wetu wa nchi kama atafikisha hata asilimia 45% katika uchaguzi wa mwaka 2020.
Kwasababu nikianza kuangalia pande zote za nchi kuna vilio tupu. Wafanyakazi wanalia, Bukoba wanalia kwa kudhulimiwa hela za maafa, wabuge wanalia bila shaka mlijionea wenyewe juzi JK alipotua bugeni, wananchi wanakufa kwa njaa serikali haina shamba, wafanyabiashara wanalia, bashite kulelewa.
Hayo ni baadhi ya mambo machache ambayo mimi binafsi nitaendelea kutoichagua CCM maishani mwangu. CCM lazima tuipige chini 2020