3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,571
- 16,243
Tatizo ni moja tu ambalo ndio litatukwamisha kufukia maendeleo ya watu nalo ni uwekezaji mkubwa sana kwenye maeneo ambayo hayawagusi watu walio wengi kwa maana ni watanzania wachache sana wanaojishughulisha na sekta ya ujenzi ambako ndio kila siku billions of money zinaelekezwa huko na hivyo kufaidisha watu wachache ingawa lengo kufanya hivyo inaweza kuwa ni kuchochea ukuaji wa haraka wa biashara lakini bado ni kwa watu wachache na itachukua muda mrefu pia kuleta matokeo chanya kwa uchumi
Watanzania wengi wanajishughulisha na kilimo uwekezaji huu unaofanywa sasa hivi kama ungeelekezwa huko hasa kwenye mazao ya kibiashara hata chakula pia maana tumezungukwa na nchi jirani zinazokumbwa na tatizo la njaa kwa kiasi kikubwa watu wengi sana wangefaidika na hata Tanzania ya viwanda ingekuwa ya uhakika maana sekta ya kilimo na viwanda ni sekta zinazotegemeana sana na ndizo sekta zinazoweza kuajiri watu wengi kwa wakati mmoja kuliko sekta nyingine na hayo maendeleo ya watu yanaweza kufikika
Watanzania wengi wanajishughulisha na kilimo uwekezaji huu unaofanywa sasa hivi kama ungeelekezwa huko hasa kwenye mazao ya kibiashara hata chakula pia maana tumezungukwa na nchi jirani zinazokumbwa na tatizo la njaa kwa kiasi kikubwa watu wengi sana wangefaidika na hata Tanzania ya viwanda ingekuwa ya uhakika maana sekta ya kilimo na viwanda ni sekta zinazotegemeana sana na ndizo sekta zinazoweza kuajiri watu wengi kwa wakati mmoja kuliko sekta nyingine na hayo maendeleo ya watu yanaweza kufikika
tena kwenye globalised world tutaendelea ku float sana