Je, lsabela ni nani? Tunaruhusiwa sasa kumuhoji?

Keynez

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
2,397
3,884
Serikali yetu imejijengea sifa kadhaa ambazo zinafanya taarifa yoyote wanayoitoa kuwa na mashaka nayo kabla haujaiamini.

Niliwahi kuelezea wasiwasi wangu mapema tu katika nyuzi za wachangiaji wengine pale taarifa za Isabela, yule muathirika wa corona aliyepatikana Arusha zilipotangazwa.

Je, kwa kuwa Isabela sasa amepona kama tulivyotangaziwa, je ni ruhusa sasa waandishi wa habari za uchunguzi waweze kufanya mahojiano naye?

Waandishi wa habari za uchunguzi fanyieni kazi hii kitu.
 
Hao waandishi wanachunguza tiba ya CORONA?
Je wakimhoji Isabela, kuna mashiko gani kwa jamii yetu kama taifa?

Mnapoandika post muwe mnajitathmini umuhimu wa post husika.
Hii post yako ni CRAP TUPU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaopinga mna hoja gani hasa zaidi ya kubeza tu? Mnaficha nini?
 
Back
Top Bottom