Ha haa wacha kumbeep mzee! Wale wafuasi sahivi wanamkimbia. Mwenyekiti wa ccm Mkoa wa Geita Joseph kansheku maarufu kama king Musukuma. Sipati picha akimuona maana tayari amemkana lowassa na kusema anaungana na magufuli make ni ndg yake.
Lowassa sahivi si chochote tena kwenye nchi hii soon hatasikika tena kwenye mitandao ya kijamii kama hapo awali kabla ya kuwania urais na kabla ya hapo pia.
ZILIPENDWA!!
lowasa bado anamfunika slaa kwenye mitandao,huyu slaa si watamsahau sasa watu...
au itabidi aanze kujitambulisha upya...
maana zimebakii wiki tatu kampeni zianze na bavicha wameng'ang'ana kumpaisha lowasa,lowasa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.