Hata mi nasikia sikia
Waumie kwa lipi? Huyo msaliti wakati hata ubunge hana tena!Watu wasiojulikana wanaumia sana kumuona hajambo
Vipi mapokezi na Tshirt zimeenda wapi mkuu?
Si alisema usalama wake uko hatarini? Au alikuwa anachezesha kwata wanasaccos wa Chadema ili aendelee kula ruzuku za chama huko kwa mabeberu Ubelgiji??
Ina maana amekuja kimya kimya? Vipi yale maandalizi ya mapokezi hapo Ufipa? Kweli Jiwe kiboko hadi 'shujaa' anarudi kwa kunyatianyatia!!!??
Jibu swali mapokezi holaaa!Masikini hata kusoma hujui, maana kilicjoandikwa na ulicho kuchangia ni ardhi na mbingu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kwa kilichotokea mkuu wewe unaona usalama wake ukoje?Si alisema usalama wake uko hatarini? Au alikuwa anachezesha kwata wanasaccos wa Chadema ili aendelee kula ruzuku za chama huko kwa mabeberu Ubelgiji??
Vipi mapokezi na Tshirt zimeenda wapi mkuu?
Siku zake zikifika ataondoka tu kama wewe utavyoondoka!
Jibu swali mapokezi holaaa!
Endelea kumuweka hewanj. Wabongo hawakawii kumsahau!
Sijui
Siku zake zikifika ataondoka tu kama wewe utavyoondoka!