busy bees
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 2,249
- 1,332
Yaani ushabiki wenu wa kisiasa mwawatukana hadi wazazi wenu tena wasio husika hata chembe na mivutano yenu .... ama kweli KIZAZI cha NYOKA ....Mropokaji ni mamako
Yaani ushabiki wenu wa kisiasa mwawatukana hadi wazazi wenu tena wasio husika hata chembe na mivutano yenu .... ama kweli KIZAZI cha NYOKA ....Mropokaji ni mamako
Wewe mwenyewe ni nyoka mkubwaYaani ushabiki wenu wa kisiasa mwawatukana hadi wazazi wenu tena wasio husika hata chembe na mivutano yenu .... ama kweli KIZAZI cha NYOKA ....
Unaitwa karangaLisu si tayari rais wa wehu TLS
Asante kiongozi ... itakuwa ni vyema endapo nitakuwa KIMYAWewe mwenyewe ni nyoka mkubwa
UmechelewaAsante kiongozi ... itakuwa ni vyema endapo nitakuwa KIMYA
Uko miongoni mwa wale wapendao saaana ushindaniUmechelewa
Jiulize mwenyeweUko miongoni mwa wale wapendao saaana ushindani
Nini kifanyikeHatimaye amehitimisha mwenyewe...
Watanzania wote sio wajinga wewe na ba-vichaa endeleeni kuhangaikana kudanganyana.Nyie wenyewe na polisi wenu mmemjengea Lissu popularity kubwa sana kwa muda mfupi sana! Sasa hivi ukiitisha uchaguzi wa Urais na ukaweka wagombea JPM na Lissu, uchaguzi ukawa huru na wa haki bila vyombo vya dola kupendelea au kuhujumu upande wowote, ndio utajua kuwa nani ni nani!!!
Watanzania wote sio wajinga wewe na ba-vichaa endeleeni kuhangaikana kudanganyana.
Eti "serikali yenu "
Hivi wewe unalindwa na nani wakati unajamba ovyo usiku?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kuwa serious aiseeYaani Lissu awe Rais wa nchi hii? Uko serious kijana!!
Ni kweliMzimu wa Sheikh Yahya unafufukia JF?