johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Kwa wale wanaofahamu zilipo ofisi za CCM wilaya ya Kinondoni nadhani mmeona ofisi ile imezungukwa na flemu za biashara na pembeni yake kuna kanisa. Leo nimetembelea mahali pale nikakuta flemu zote zimebandikwa namba mpya zinsxoanzia na CCM/01 na kuendelea. Kilichonishangaza geti la kuingilia kanisani limepewa namba CCM/32 ikimaanisha ndio namba ya kanisa, ndiposa namuuliza wakili msomi Msando je lile jengo la kanisa katika uwanja wa CCM ni mali ya chama?..... Ni hayo tu, ahsante!