Ngoja tuone ni nani wananchi wanamkubali...Manabii wa uongo akiwamo huyo wa Arusha wameonywa watubu na kuacha kuwadanganya watu wa Mungu.
Nabii Gani hakemei DHAMBI? Upanga umenyooshwa juu ya manabii wa uongo wanaopachafua patakatifu pa patakatifu.
Tusubiri.
Nyuma ya Nabii wa UONGO yupo mrisho gamba😳😳😳Ngoja tuone ni nani wananchi wanamkubali...
Ila wewe naona huna bundle hivyo hujaifuatilia hiyo Clip ila umerukia mjadala tu.
Hao Rai wamemuacha Lema kweupe!
Wamehoji alichowafanyia akiwa mbunge aliyedumu kwa miaka 15.
Mambo yanaenda kwa kasi sana.