kitambo na vipind ni hayo ma kwese nitamis sana BOYSBOYSSi umeona hawapo Azam now?
Hii kwese ni kampuni ya wapi ? The Boss
Mwenye hiyo kampuni ni mjasiriamali na msomi mwenye uzoefu sana, Strive Masiyiwa. Ni mzimbabwe aliyeishi sana nje.
Ukipata nafasi msome kidogo mtandaoni atakubadilisha unavyofikiria kuhusu biashara na ujasiriamali.
https://www.google.com/url?sa=t&sou...ghDMAQ&usg=AFQjCNH5CjprASYRrrxv3jN4UBhR-wpThw
Mwenye hiyo kampuni ni mjasiriamali na msomi mwenye uzoefu sana, Strive Masiyiwa. Ni mzimbabwe aliyeishi sana nje.
Ukipata nafasi msome kidogo mtandaoni atakubadilisha unavyofikiria kuhusu biashara na ujasiriamali.
https://www.google.com/url?sa=t&sou...ghDMAQ&usg=AFQjCNH5CjprASYRrrxv3jN4UBhR-wpThw
Sio mghana?kumbe ni mzimbabwe?
Strive masiyiwa is a game changer and mentor for up coming enterprenours.Mwenye hiyo kampuni ni mjasiriamali na msomi mwenye uzoefu sana, Strive Masiyiwa. Ni mzimbabwe aliyeishi sana nje.
Ukipata nafasi msome kidogo mtandaoni atakubadilisha unavyofikiria kuhusu biashara na ujasiriamali.
https://www.google.com/url?sa=t&sou...ghDMAQ&usg=AFQjCNH5CjprASYRrrxv3jN4UBhR-wpThw
The Boss achana na mambo ya vingamuzi.. dunia imehama sasa hivi..
binafsi nina smart tv box ndio kama kingamuzi changu.. pia nina home wifi nzuri.. so naweka line tu ya airtel naitia buku tu napata 2gb uni.. naangalia nachotaka siku mbili..
youtube, mechi na stream online..
tv zote bongo zina online tv naangalia hapo, watoto wanachek katuni youtube..
hakuna kinachonipita internet ina kila kitu... sema nakaa hatua kazaa kutoka kwenye mnara
vin'gamuz vitakuaje yaan gharama za uendeshaji?Nimesikia tetesi KWESE TV ndo wamenunua TV1 na wanakuja na vingamuzi vyao
kuna anaejua zaidi?
lini labda?
bei zao?
zaidi ya NBA wana nini zaidi? EPL?
UEFA?