Rangooo
Senior Member
- Feb 12, 2022
- 196
- 322
Habari wana JF,
Kwa wale ambao wamejiunga na ni investors wa MTFE na ambao wanaifaham vizuri mnaonaje uwepo wa hii platform na ni nini future aspects zake, je itaweza kuwepo kwa mda mrefu?
Ingawa mtandaoni inakua criticized sana kuwa ni scam ila imelast for a while sio kama platform nyingne.
Naombeni mawazo yenu katika hili.
Kwa wale ambao wamejiunga na ni investors wa MTFE na ambao wanaifaham vizuri mnaonaje uwepo wa hii platform na ni nini future aspects zake, je itaweza kuwepo kwa mda mrefu?
Ingawa mtandaoni inakua criticized sana kuwa ni scam ila imelast for a while sio kama platform nyingne.
Naombeni mawazo yenu katika hili.