Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Ni kwamba zikionekana watu wataota, au ni sehemu ambazo hatutakiwi kuziona kabisa? Kama ni sehemu za siri ina maana hakuna mtu anatakiwa kuziona au kuzijua zikishaonwa basi hizo siyo tena siyo sehemu za siri.
Mbona watu wakiwa faragha zinaonwa vizuri kwa nini ziwe sehemu za siri na wakati kila mtu ameshaziona.
Kwa nini ziitwe sehemu za siri?
Mbona watu wakiwa faragha zinaonwa vizuri kwa nini ziwe sehemu za siri na wakati kila mtu ameshaziona.
Kwa nini ziitwe sehemu za siri?