Habari zenu Wakuu,
Kama tunavyojua kuwa ukifanya jambo baya basi malipo ni kesho kwa Baba au hapahapa Duniani.
Sasa leo nataka nikujuze hukumu za watu wanaonyonya sehemu za siri hapa Duniani na huko Mbinguni.
Tukianzia hapa Duniani, hukumu yao muumba kashaiweka wazi kuwa ni kansa ya koo.
Hukumu nyengine kubwa zaidi ni kuchomwa kwenye moto wa milele maana wamemkosea muumba kwa kutumia njia ya chakula kuigeuza njia ya ngono.
HIZO NDIO HUKUMU/MALIPO YA WANAONYONYA SEHEMU ZA SIRI.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Johannesburg South Africa
Kama tunavyojua kuwa ukifanya jambo baya basi malipo ni kesho kwa Baba au hapahapa Duniani.
Sasa leo nataka nikujuze hukumu za watu wanaonyonya sehemu za siri hapa Duniani na huko Mbinguni.
Tukianzia hapa Duniani, hukumu yao muumba kashaiweka wazi kuwa ni kansa ya koo.
Hukumu nyengine kubwa zaidi ni kuchomwa kwenye moto wa milele maana wamemkosea muumba kwa kutumia njia ya chakula kuigeuza njia ya ngono.
HIZO NDIO HUKUMU/MALIPO YA WANAONYONYA SEHEMU ZA SIRI.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Johannesburg South Africa