Je, kusomesha hawara ni halali?

Mamaaaaaaa mamaaaaa mamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mamaaaaaa naomba uje utoe matokeo baada ya miaka mi4...
 
Wakati Mwingine Tunafanya Mambo Kama Msaada Kwa Manufaa Ya Wengine
 
Hawara sijui demu hasomeshwi tulishakuubaliana hili swala kwenye kikao@
 
Mradi akija kuolewa na mtu mwingine huko mbele hutashtuka
fanya kama umetoa msaada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…