Habari zenu wadau , Kuna ndg yangu mmoja anakituo Cha kulelea watoto lakini anahitaji kukiweka kiwe Cha mayatima na watoto wasio jiweza kusomeshwa na kupata mahitaji yao ya kimwili.
Hivyo Kuna nahitaji kumsapoti kumuombea misaada kwa ma- volunteers.
Tumejaribu kuandika maandiko lakni imegonga hewa.
Je kwa kupitia huu mtandao wa GoFundMe unaweza kutoa sapoti?
Msaada kwa Yule aliyewahi fanya hivyo au mwenye ujuzi.
Asante.
Hivyo Kuna nahitaji kumsapoti kumuombea misaada kwa ma- volunteers.
Tumejaribu kuandika maandiko lakni imegonga hewa.
Je kwa kupitia huu mtandao wa GoFundMe unaweza kutoa sapoti?
Msaada kwa Yule aliyewahi fanya hivyo au mwenye ujuzi.
Asante.