Je kuongeza kodi kwa wafanyakazi (PAYE) kutamkwamua mfanyakzi au ndiyo maumivu kwao?

Mkuu nafikiri umeelewa vibaya waziri kasema wamepnguza kiwango cha chini hakutaja lingine. kama amepandisha kiwango cha tozo kwa wafanyakazi so far hatujui coz haikutajwa. Nafikiri wote tuvute subira watakapoanza kuijadili bajeti tutaelewa vizuri baada ya ufafanuzi. Najua wengi tumechoka hiki chama (eti cha uhuru hahaha) na tuna hamu ya kukingoa tujipange 2015 kwa kishindo kama watanzania wazalendo kwa nchi yao.

Naomba kuwasilisha.
Bajeti ya serikali iliyosomwa na waziri wa fedha inaonesha kuwa baada ya ya serikali kuongeza mishahara(kwa wafanyakazi wake wa serikali)imerevenge kwa kuongeza kodi ya mishahara hii inamaana kuwa mshahara uliongezwa kwa kiasi kidogo ila kodi imeongezwa kwa takribani 30% ss maana yake kuwa mshahara ulioongezwa ni kiini macho tu na kamwe haimsaidii mfanykazi,je ww mtazamo wako ukoje?
 
mimi sijali kuongezwa kodi mradi tuone hiyo hela inaenda wapi...unapoanza kusikia viongozi wetu wanajenga majumba ya mabillion hapo ndio inakua hakieleweki
 
sasa wafanyakazi tupo kundi moja na pombe, sigara na vinywaji baridi. the major source of revenue for govt of TZ.
Inauma sana!
 
Hivi utamkata kodi kubwa mtu asiye kuwa na kitu halafu unasema kodi ni muhimu, wewe mwananccm ni hatari! huo mshara kwa matumizi ya kawaida kwa wafanyakazi walio wa serikali hauwafikishi mwisho wa mwezi kwa mfumko wa bei uliopo halafu tena uanakatwa kodi kubwa. Haya bwana ngoja tunyanyasike ndani ya nchi yetu.

Hameni hii nchi muende nchi isiyotoza kodi! UBISHI TU.
 
Pastor wenu bado sioni unafuu hapa!Labda tuiombee CHADEMA 2015 tupate bajeti isiyomuumiza bibi yangu kule kijijini Mtina
 
mtoa mada na Tanzania daima naona hamjaelewa kabisa kilichosemwa bungeni. kodi haijapandisha ila kutakuwa na unafuu kidogo kutokana na ukokotoaji mpya unaoletwa na kima cha chini cha kukatwa kodi kuwa 170,000. na ukiangalia vizuri hicho ndio kima cha chini kuanzia July hivyo mishahara itapanda kwa asilimia 20% mpaka 25% hivi
 
Ni maumivu kwa kwenda na hata msamaha wa kodi ya Nissan march wameondoa jamani sisi walimu tulie kwa nani
 
Watanzania acheni kujadili na kulalamika kwa kwa kufuata mkumbo, ukweli kuhusu PAYE ni huu hapa:

Kwa miaka mingi sasa serikali imewafutia kodi hiyo wafanyakazi wake wa kima cha chini kwa mwaka huu unaoishia June mfanyakazi anayepata kima cha chini cha 135,000/= halipi hiyo PAYE hivyo basi kuanzia July 1 mfanyakazi atakayelipwa kuanzia 170,000/= kushuka chini naye hata lipa paye,kwa wachambuzi wa mambo hii inaashiria kwamba kuanzia July kima cha chini kitakuwa 170,000/= hii ni sawa na ongezeko la 25.9%.

Hivyo nafuu hiyo ataipata kila mfanyakazi bila kujali analipwa sh ngapi kwa mwezi, ijapokuwa mwenye mshahara mkwubwa nafuu hiyo inaonekana ni ndogo.

Mfano mtumishi anayelipwa 300,000 kwa mwezi, ataktwa kodi kama ifuatavyo:

300,000-170,000=130,000, hii 130,000 ndiyo itakayopigiwa hesabu ya kodi kwa asilimia 18.

Hii ndiyo maana yake, japo kuwa hata wabunge walishindwa kuelewa
 
Mkataa pema kubaya kunamuita. Mliwapa kura na kuwanyima Chadema sasa wanawala!

tukichukulia usemi wa LUSINDE KULE ARUMERU!

ni kwamba ccm waliwapiga MIMBA WATANZANIA WOTE WALIOWAPIGIA KURA NA WALIZAA MTOTO JK OCTOBER 2010. KWA HIYO TENA WANAENDELEA KUWAPIGA MABAO ILI WAPATE MIMBA WAZAE TENA MTOTO MWWINGINE WA CCM! MPO HAPO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

INA MAANA WATAZANIA WOTE NI WANAWAKE WA CCM HASA WALE WANAOWAPIGIA KURA!!!! BY LUSINDE!!!

ENDELELENI KUPIGWA MABAO NA CCM MIMI SIMO NI WANGU!
 
Ccm piga watu mabao ya uhakika wapate mimba piga sana tena sana ili waendelee kuzaa maana wanataka sana watoto na wanaume wapigaji mabao mazueri wako ccm!!! By lusinde si mie nisemavyo hivyo! Ccm imechukua wanawake wengi wanaipenda lakini kumbe inapiga mabao hadi akina ...................
 
HIYO PAYE NI HELA AMBAYO WAO SERKALI YA CCM WAKICHUKUA HAWAIFANYII KAZI ZA MAENDELEO BALI NI KIFUTA JASHO CHAO KWA KUWAPIGA MIMBA(BY LUSINDE) ILI WAZAE TENA MTOTO CCM 2015, JANA NILISKILIZA BBC WANYARWANDA WANASEMA1 wakati nchi nyingine za africa mashariki wakilalamika kuwa hawajui hela za budgte zinaenda wapi1 RWANDA WAO WANAZIONA ZINAVYOFANYA KAZI YA KUINDELEZA NCHI YAO HIVYO KWAO SIKU YA BUDGET NI MUHIMU SANA!
 
umeelezea vyema kabisa!
Watanzania acheni kujadili na kulalamika kwa kwa kufuata mkumbo, ukweli kuhusu PAYE ni huu hapa:

Kwa miaka mingi sasa serikali imewafutia kodi hiyo wafanyakazi wake wa kima cha chini kwa mwaka huu unaoishia June mfanyakazi anayepata kima cha chini cha 135,000/= halipi hiyo PAYE hivyo basi kuanzia July 1 mfanyakazi atakayelipwa kuanzia 170,000/= kushuka chini naye hata lipa paye,kwa wachambuzi wa mambo hii inaashiria kwamba kuanzia July kima cha chini kitakuwa 170,000/= hii ni sawa na ongezeko la 25.9%.

Hivyo nafuu hiyo ataipata kila mfanyakazi bila kujali analipwa sh ngapi kwa mwezi, ijapokuwa mwenye mshahara mkwubwa nafuu hiyo inaonekana ni ndogo.

Mfano mtumishi anayelipwa 300,000 kwa mwezi, ataktwa kodi kama ifuatavyo:

300,000-170,000=130,000, hii 130,000 ndiyo itakayopigiwa hesabu ya kodi kwa asilimia 18.

Hii ndiyo maana yake, japo kuwa hata wabunge walishindwa kuelewa
 
serikali ya ccm ni ya Kibepari tena ubepari uchwara, si ya wafanyakazi tena wala wakulima, mimi siwezi shangaa maamuzi hayo kwa kuwa yanataswira za mfumo wao usio rasmi kikatiba, nawasikitia watz wote kwanamna tunavyoburuzwa na ccm. NDIPO NAPOKUMBU MANENO YANGU NILIYO ONGEA KWA UCHUNGU BAADA YA CMM NA JK KUTANGAZWA KUWA WASHINDI WA RAIS, NAYO NI "MUNGU KAMA KWELI WATANZANIA WAMEMCHAGUA NA HALI WANAJUA UDHAIFU WA CCM PUNISH THEM NA MATATIZO MBALI MBALI ILI WAFUNGUKE WASIJE WAKAFANYA TENA KOSA KUCHAGUA VIONGOZI/CHAMA KISICHO WAJIBIKA KWA WANANCHI WAKE" kusema kweli mimi naombea sana matatizo kama vile unemployment, students loans,inflation, land conflicts, etc viongezeke maana watz bila mambo kama haya hawawezi zinduka
 
Mkuu Tume ya Katiba,

Kumbe ukiamua kuandika mambo ya maana unaweza.



Mkuu KODI ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa lolote, mgogoro pekee upo kwenye jinsi gani kodi inatumiwa na taifa husika. Tatizo la TZ ni kodi kupelekwa sehemu kusiko sahihi.
 
Ccm piga watu mabao ya uhakika wapate mimba piga sana tena sana ili waendelee kuzaa maana wanataka sana watoto na wanaume wapigaji mabao mazueri wako ccm!!! By lusinde si mie nisemavyo hivyo! Ccm imechukua wanawake wengi wanaipenda lakini kumbe inapiga mabao hadi akina ...................


Tatizo watanzania ni waoga kuliko hata mbwa anaefyata mkia. HATA HAPA JF SI UNAONA WATU WANAVYO JIFICHA GIZANI KWA KUTUMIA MAJINA BANDIA! INAASHIRIA NINI HII? KAMA SIO WOGA! Aaargh!
 
Back
Top Bottom